Boss kuweka mshahara mezani

Boss kuweka mshahara mezani

Hela ni roho, sasa fahamu roho zina sifa zipi, moja huishi milele, husikia na kukaa na mtu au watu na pia humtoka mtu ....

Hofu yako ndo itakuletea uhalisia wa unachokihofia na ujasiri wako hukuletea na unachokiamini, kumbuka imani ina nguvu kuliko matendo.

Kwa hali ya kawaida tuu, isemeshe hiyo hela ikiwa hapo mezani na iamrishe ikutumikie wewe na isahau maagizo yote iliyopewa toka huko ilikotoka na kuwa kuanzia hapo wewe ndo mmiliki wake maana ni mshahara na uko kwa matamshi ya jina lako. Kisha hapo waweza ichukua kwa kujiamini na kuitumia kwa maarifa na akili. Itume na isemeshe hela ikutumikie sio wewe uitumikie.

Sio ndumba wala kichumio, ndio maana sadaka kule madhabahuni huwa inaombewa na kubarikiwa maana inatolewa kma sadaka lakini imetoka kwa watu wengi mbalimbali.
Duuh Asante nimeelewa sana.
 
Piga hela Mzee Baba hiyo ni halali yako, yeye (Boss) anachofanya kinamsaidia katika mambo yake na wala haihusiani kabisa na hela yako, ni kama anachofanya Jiwe, kutwa kuzunguka Kwa waganga ili mambo yake ya kiutawala yaende Sawa, lakni wafanyakaz wa serikali wenyewe wanajua kupokea mwisho wa mwezi, hawajui hyo hela imetoka wapi na jamaa (Jiwe) anaisoteaje ili awalipe...mambo ni mengi sana duniani hapa
Hahahaha hatari sana
 
Mode fanya heading iwe hivi:
Bosi, mwajiriwa na imani za hovyo hovo kuhusu pesa!
 
Uchochezi
Piga hela Mzee Baba hiyo ni halali yako, yeye (Boss) anachofanya kinamsaidia katika mambo yake na wala haihusiani kabisa na hela yako, ni kama anachofanya Jiwe, kutwa kuzunguka Kwa waganga ili mambo yake ya kiutawala yaende Sawa, lakni wafanyakaz wa serikali wenyewe wanajua kupokea mwisho wa mwezi, hawajui hyo hela imetoka wapi na jamaa (Jiwe) anaisoteaje ili awalipe...mambo ni mengi sana duniani hapa
 
Nachofaham akikupa mkononi baadae utakuwa una mafanikio kimaisha sababu alikupa kwa mkono ila akiweka mezani anamaana uendelee kutumwa tu
 
Piga hela Mzee Baba hiyo ni halali yako, yeye (Boss) anachofanya kinamsaidia katika mambo yake na wala haihusiani kabisa na hela yako, ni kama anachofanya Jiwe, kutwa kuzunguka Kwa waganga ili mambo yake ya kiutawala yaende Sawa, lakni wafanyakaz wa serikali wenyewe wanajua kupokea mwisho wa mwezi, hawajui hyo hela imetoka wapi na jamaa (Jiwe) anaisoteaje ili awalipe...mambo ni mengi sana duniani hapa
dah, fala we
 
Hizi ni zama za kutuma hela moja kwa moja kwenye akaunti ya benki au simu, habari za kupeana hela mkononi au mezani zishapitwa na wakati.
 
Chukua pesa kwa mkono wa kushoto weka kwenye mfuko wa kushoto nenda nayo chooni ikojolee kidogo uchawi wake wote unaiisha.

Uyo boss wako anacho kifanya ni kukunyang'anya bahati yako na iyo pesa usifanyie maendeleo ubakie kua mtumwa wake
Angalia km mshahara unakusaidia au raha utapata majibu
Mkojo ni dawa tosha ya uchawi wa pesa.
 
Back
Top Bottom