Background Check
JF-Expert Member
- Jun 28, 2019
- 378
- 577
- Thread starter
- #21
Ni mtanzania mimi ni Dume mkuuHuyo bosi wako Ni mwarabu au mhindi na wew Ni jinsia gani me/ke
Ni mtanzania mimi ni Dume mkuuHuyo bosi wako Ni mwarabu au mhindi na wew Ni jinsia gani me/ke
Hakika kwa hiyo na hili lina siri pengineMafanikio mengi ya watu yana siri nzito sana.
Ninayo mkuu lakini utaratibu huu ni nimeukutaWe wa juzi hauna Bank account?
Duuh Asante nimeelewa sana.Hela ni roho, sasa fahamu roho zina sifa zipi, moja huishi milele, husikia na kukaa na mtu au watu na pia humtoka mtu ....
Hofu yako ndo itakuletea uhalisia wa unachokihofia na ujasiri wako hukuletea na unachokiamini, kumbuka imani ina nguvu kuliko matendo.
Kwa hali ya kawaida tuu, isemeshe hiyo hela ikiwa hapo mezani na iamrishe ikutumikie wewe na isahau maagizo yote iliyopewa toka huko ilikotoka na kuwa kuanzia hapo wewe ndo mmiliki wake maana ni mshahara na uko kwa matamshi ya jina lako. Kisha hapo waweza ichukua kwa kujiamini na kuitumia kwa maarifa na akili. Itume na isemeshe hela ikutumikie sio wewe uitumikie.
Sio ndumba wala kichumio, ndio maana sadaka kule madhabahuni huwa inaombewa na kubarikiwa maana inatolewa kma sadaka lakini imetoka kwa watu wengi mbalimbali.
Hahahaha hatari sanaPiga hela Mzee Baba hiyo ni halali yako, yeye (Boss) anachofanya kinamsaidia katika mambo yake na wala haihusiani kabisa na hela yako, ni kama anachofanya Jiwe, kutwa kuzunguka Kwa waganga ili mambo yake ya kiutawala yaende Sawa, lakni wafanyakaz wa serikali wenyewe wanajua kupokea mwisho wa mwezi, hawajui hyo hela imetoka wapi na jamaa (Jiwe) anaisoteaje ili awalipe...mambo ni mengi sana duniani hapa
Tafadhali usiGenerslize (usijumlishe) !! Tabia haina mwenyewe......Huyo bosi wako Ni mwarabu au mhindi na wew Ni jinsia gani me/ke
Piga hela Mzee Baba hiyo ni halali yako, yeye (Boss) anachofanya kinamsaidia katika mambo yake na wala haihusiani kabisa na hela yako, ni kama anachofanya Jiwe, kutwa kuzunguka Kwa waganga ili mambo yake ya kiutawala yaende Sawa, lakni wafanyakaz wa serikali wenyewe wanajua kupokea mwisho wa mwezi, hawajui hyo hela imetoka wapi na jamaa (Jiwe) anaisoteaje ili awalipe...mambo ni mengi sana duniani hapa
dah, fala wePiga hela Mzee Baba hiyo ni halali yako, yeye (Boss) anachofanya kinamsaidia katika mambo yake na wala haihusiani kabisa na hela yako, ni kama anachofanya Jiwe, kutwa kuzunguka Kwa waganga ili mambo yake ya kiutawala yaende Sawa, lakni wafanyakaz wa serikali wenyewe wanajua kupokea mwisho wa mwezi, hawajui hyo hela imetoka wapi na jamaa (Jiwe) anaisoteaje ili awalipe...mambo ni mengi sana duniani hapa
