Boss kukufokea

Aisee Mimi kufokewa na mtu hata kama ni Boss ananilipa mshahara huwa sikubali hata kidogo. Kiasili Mimi ni mpole na muelewa sana lakini kudhalilishwa au kufokewa na mtu huwa sikubali kabisa.
1. Nilikuwa kwenye kampuni fulani huko Zanzibar Boss akawa ananiletea manenno ya kibaguzi nilichoifanyia ile kampuni aisee mbona alishuka chini na Nikamweleza maneno yako unayoniongelea ingekua ni wewe ndio unaambiwa ungejisikia vipi? Alinyooka na akawa swahiba hasa ukizingatia yeye ni CUF na Mimi ni CDM tulienda Sawa.
2. Na hawa wanaojifanya maboss na vihela vyao hapa mjini aisee huwa wakiniletea mambo meusi huwa nawapa makavu bila kumungunya maneno.
Kifupi Mimi kufokewa huwa sipendi na kwanza sikubali kabisa.
 
pole sana,ila kama mwajiri wako ni Muhindi /Wahindi ,Mchina kwao ni jambo la kawaida,ila nachoweza kushauri ni wewe kumsikiliza kwa muda huo bila kumjibu vibaya alafu baadae akishatulia mfuate ofisini kwake na uombee kuongea naye,kisha mueleze kuwa kama unakuwa umekosea jambo unaomba awe anakuelekeza kiustarabu na pia asiwe anakufokea mbele za watu kani ni kudhalilishana na kutengeneza hali ya dharau kwa wafanyakazi wenzako.

Thanks for advice
 
Arusha vichaa walianza zamani........
Boss kamfokea supervisor mbele ya umati wa watu......🙄
Watu wakamshauri supervisor wakati wa kutoka mpige mtama/ngwala.....uwanjani mbele za watu.......
Wakati wa kutoka umefika bosi anakatiza uwanjani kwenda kupanda pijo.....jamaa kamjia kwa nyuma..." kata funua".....watu eeeeeerh🤣🤣🤣🤣🤣
Kila boss akinyanyuka anakula mtama watu eeeeeh..🤣🤣🤣🤣
Hata mgambo wa getini hawakumsaidia.
 
Arusha vichaa walianza zamani........
Boss kamfokea supervisor mbele ya umati wa watu......
Watu wakamshauri supervisor wakati wa kutoka mpige mtama/ngwala.....uwanjani mbele za watu.......
Wakati wa kutoka umefika bosi anakatiza uwanjani kwenda kupanda pijo.....jamaa kamjia kwa nyuma..." kata funua".....watu eeeeeerh
Kila boss akinyanyuka anakula mtama watu eeeeeh..
Hata mgambo wa getini hawakumsaidia.

 
Aise labda kama siyo Supervisor wake au mtu ambaye amemzidi cheo,maana unaweza jikuta kibarua kimeota nyashi kwa utovu wa nidhamu tu,ambapo ungeweza kukausha tu na usipungukiwe chochote kwa wakati huo,Muda mwingine ukimya ni bora kuliko maneno
Kwa kifupi jamaa kazi ilikwisha.
Lakini zamani hizo Arusha unatoka kiwanda hiki unaingia hiki....kazi haikuwa tatizo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom