Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,737
- 41,174
Suluhisho ni wote wajiajiri huo ndio ubosi halisi.Aise labda kama siyo Supervisor wake au mtu ambaye amemzidi cheo,maana unaweza jikuta kibarua kimeota nyashi kwa utovu wa nidhamu tu,ambapo ungeweza kukausha tu na usipungukiwe chochote kwa wakati huo,Muda mwingine ukimya ni bora kuliko maneno