Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
Gerrard hofu yako ni kuwa serikali anaweza kulala kazi bila kuchukuliwa hatua wakati private nidhamu ni 100%....poleni wavivu woteKama Mkewe ni Mwalimu wa Msingi, ziko shule ngapi za Private za msingi hapa Tanzania? Kwa Mwanamke ni vyema apiganie abaki serikalini ili apate pia muda wa kulea watoto, huko private awaachie wanaume
Last edited by a moderator: