kijana13
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 1,981
- 3,611
Maybe atakuwa anataka kufungua kampuni maana requirement moja ya brela kwa director ni kitambulisho Cha taifa. Anakuweka Kama shareholder mwenye hisa ndogo pasipo wewe kujua... madhara yake iko siku likitokea na la kutokea utawajibika Kama shareholder either kufilisiwa, mahakamani au polisi.