Boss anajua siku zangu za period

Boss anajua siku zangu za period

mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?

Hayo maswali ulipaswa umuulize huyo bosi wako maana ndiye anayefahamu mambo yako ya sirini....!!!
 
Inawezekana anakuona kama binti yake, kuwa tu mwangalifu weka mipaka katika uhusiano, vingine akikuuliza unambadilikia usoni na unamuuliza anamaanisha nini?
siwezi kummind ananisaidia mambo mengi sana huyu mzee .
 
Back
Top Bottom