Mpasuajipu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 836
- 49
Tuma kwanza wakaguzi wa KIMATAIFA kuona kama hana Weapon of Mass Destruction (WMD). President Bush bado yupo unaweza pata ushauri kwanza. Lakini km utaona gharama kubwa tupo hapa hapa Bongo wawakilishi tutakusaidia.