Bosi wangu wa kike ananitaka, nifanyeje?

gongotamu

Member
Nov 11, 2010
20
1
Wana jf

Niko katika wakati mgumu. bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?
 

NATA

JF-Expert Member
May 10, 2007
4,509
1,310
wana jf, niko katika wakati mgumu. Bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. Sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. Mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?

vipi anamvuto?
 

Masanilo

Platinum Member
Oct 2, 2007
22,280
4,456
wana jf, niko katika wakati mgumu. bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?


NiPM contacts zake nitakusaidia!
 

Kipenzi Chao

Member
Oct 12, 2010
99
3
wana jf, niko katika wakati mgumu. bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?
Kwani bosi wako ni she/he?
 

Eeka Mangi

JF-Expert Member
Jul 27, 2008
3,173
476
Usijekuta tayari ana silaha za maangamizi. Hata hivyo kila mtu anakuwaga na hisia zake kwa mtu. Ni haki yake kukutaka ka wewe unavyotakaga mademu. Ukiridhika na idara zote mzee mega tuuu.
 

Henge

JF-Expert Member
May 14, 2009
6,933
1,509
wana jf, niko katika wakati mgumu. Bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. Sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. Mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?
we piga tuu!
 

Nyuki

JF-Expert Member
Jul 7, 2009
367
13
Usijekuta tayari ana silaha za maangamizi. Hata hivyo kila mtu anakuwaga na hisia zake kwa mtu. Ni haki yake kukutaka ka wewe unavyotakaga mademu. Ukiridhika na idara zote mzee mega tuuu.


upo sahihi mzee
 

gongotamu

Member
Nov 11, 2010
20
1
of couse amekamilika kila idara. anakata kilaji mno. naogopa kuwa mtumwa maana kila atakachokuwa anataka nikubali!
 

Ferds

JF-Expert Member
Oct 27, 2010
1,264
191
wana jf, niko katika wakati mgumu. bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?

kama vipi vipi tu, suala ni usalama wa mali na kazi yako mkuu
 

Baba_Enock

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
7,050
2,360
Gonga tu - Play Safe

Mnyweshe Mi-valuer ming na Mi-wine na Mi-amarula akishalewa kula kiulaini tu!

Kwa nini umnyime bana?
 

Saharavoice

JF-Expert Member
Aug 30, 2007
3,749
2,161
Hukutakiwa kuomba ushauri,kwa hili.
hivi ukimkataa huhatarishi kibarua chako pia?
MEGA
 

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,620
1,782
wana jf, niko katika wakati mgumu. bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?
Mkimbie kama ukoma!
 

bwanashamba

Senior Member
Mar 29, 2010
193
3
wana jf, niko katika wakati mgumu. bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?

kiongozi kuna cha kuoji tena apo kwea pipa ukakandamize mambo ayo.
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom