Dada nimefuatilia sana link yako hih me nlikua najua we ni he kumbe ni she/na kama ni she basi dadaangu au mamaangu'fanya yafuatayo,mweshimu mmeo kama umeolewa,mchumbaako kama aujaolewa,pia jieshimu we mwenyewe kama bdo ayo yote,mwambie sipo tayari kwa ayo mambo, na atakueshimu na ataanza kukuogopa,Tumsifu yesu Kristo,sema milele Amin
Dada nimefuatilia sana link yako hih me nlikua najua we ni he kumbe ni she/na kama ni she basi dadaangu au mamaangu'fanya yafuatayo,mweshimu mmeo kama umeolewa,mchumbaako kama aujaolewa,pia jieshimu we mwenyewe kama bdo ayo yote,mwambie sipo tayari kwa ayo mambo, na atakueshimu na ataanza kukuogopa,Tumsifu yesu Kristo,sema milele Amin
Jilengeshe akubake umshtaki uvute MPUNGA saafi
mwambie wewe ni mluka ukuta tu huwezi kupiga side moja unatwanga kote kote tigoo
We kamanda mbona mwoga, kwani hujua matumizi ya dhana(Condom)? weka kwenye begi kama boksi nzima kabisa afu wakati unamkanyaga usilewe sana siku hiyo, mkun'gute haswa aridhike, usiwe na mawazo mabaya sabu na yeye ni binadamu ana hisia mpe penzi ila ukishamkanyaga unajua tena kina mama wanakuwa kama kondoo hajui kuficha penzi afu atakuwa na wivu atakubania usicheke na mademu, hapo sasa we ndo umwongoze kuwa mama tuliza mzuka tukiwa kazini tulia kama vile hatujuani afu mkiwa ki vyenu we kula mzigo kistaarabu ndo na pesa akupe. Tahadhari: mume wake asijue na usimweleze rafiki yako yeyote inatosha umesema hapa naona wengine wanakuomba namba za huyo mama usiwape itakuathiri kikazi sabu watamsumbua watamtukana, mwishowe utaona kazi ngumu. kuwa makini kula mzigo taratibu ila usimdharau mkeo hata siku moja sabu ndo mama watoto na huyo bosi usije ukakosea ukampa mimba, tume kondom hadi mwisho.
wana jf, niko katika wakati mgumu. bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?
kuwa makini na fuata nafsi yako, maana kuwa na uhusiano na mtu usiyempenda haisaidii.acha kijidhalilisha kwa tamaa za mwili.kama ni kazi-mungu ndo anapanga, c huyo bosi wako maana naamini unaweza kupata penine. huyo ni shetani-kuwa mwangalifu
Dada nimefuatilia sana link yako hih me nlikua najua we ni he kumbe ni she/na kama ni she basi dadaangu au mamaangu'fanya yafuatayo,mweshimu mmeo kama umeolewa,mchumbaako kama aujaolewa,pia jieshimu we mwenyewe kama bdo ayo yote,mwambie sipo tayari kwa ayo mambo, na atakueshimu na ataanza kukuogopa,Tumsifu yesu Kristo,sema milele Amin
we piga tuu!