Chairman Lee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,352
- 1,485
mpe sass wewe
Sasa jamani ulitaka afanyeje kwa mfano? mwezio amekuja kutaka ushauri manake huenda hajawahi kukutana na kituko hicho chakutakiwa na Boss,awaulize wanawake hili swala..lol............Watu kama Nyinyi ndio mnasababisha wanaume wa Dar tunadharaulika.
Mama _Aheshimiwe mshauri kijana wako, ale mzigo au asile...Hali kama hizi unapambana nayo kiuwezo wako unafikiri unachoambiwa huku kitakutoa akili zilipo?
Namfikiria Yusufu wa biblia kama asingekimbia lile jambo lisingekuja kujulikana kamwe ila kwa sasa sijui tuwaite watoto/wavulana/vijana wako hovyo kwelikweli yaani mdebwedo mdebwedo kila eneo fikiria kama hili naye anataka ashauriwe tena anatafuta ushauri hadi kwa dada zake huku
Mungu shusha mafuriko ya Nuhu tupotee tuu maana ccm imetuchosha bado na hawa uliowaumba kuwa vichwa wamegeuka mikia
Kwa Lengo la kulinda kibarua chako wee piga mzigo ila Utumie kondomu!!
Ukipuuza ushauri yangu utarudi kijijini Kulima njugu mawe
sizani kama inasimama...?!!!Inasimama kweli wewe???
Vipi usalama wa marinda yake?Kwa Lengo la kulinda kibarua chako wee piga mzigo ila Utumie kondomu!!
Ukipuuza ushauri yangu utarudi kijijini Kulima njugu mawe
Sijawahi kuona mautundu yeyote ya maana kwenye porn movies. Mapenzi ni yale yale tu!Ikiwezekana kama hujui mautundu basi jifunze hata thru porn movies...
Hamna aisee,Sijawahi kuona mautundu yeyote ya maana kwenye porn movies. Mapenzi ni yale yale tu!
KWani ukimkanyaga kuna ubaya gani. Acha ubwege.Mimi ni dreva na bosi wangu ni mwanamke. Tatizo linalonipata ni pale bosi wangu anaponitaka kimapenzi ni mwezi sasa unapita namkatalia.
Je naweza kosa kazi?
Na kama nikimkubalia kazi ndo itakua nzuri kwangu?
Ushauri wenu wana JF
nn?Inasimama kweli wewe???
Hiace
Ni-inbox namba yake plizSijui kwanini bahati kama hizi hazitutokeagi sie wengine,
Piga mzigo kaka, ila ukumbuke kuvaa ndomu,
Ikiwezekana kama hujui mautundu basi jifunze hata thru porn movies ili mkiwa kwenye game umuombe akuongeze mshahara.
Mambo ya sijui ameolewa au umeoa hayo yataji-solve mbele ya safari. Otherwise tusije tukakukuta Kijijini kwenu umerudi baada ya kupigwa chini Job
tehhhhhhhhhhhhhhhh tehhhhhhhhhhhhhhhhh tehhhhhhhhhhhhhhhhhhh.Hiace
Namba ya nani tena??Ni-inbox namba yake pliz
miss you pia, kitambo sijakuona...tehhhhhhhhhhhhhhhh tehhhhhhhhhhhhhhhhh tehhhhhhhhhhhhhhhhhhh.
MY mbavu pliz. missing you gal.
yeah ni kweli. Si unajua kuna cyber crimes. So, sometimes unapotezea kujichatisha. Ila hope kila kitu kiko kwenye mstari.miss you pia, kitambo sijakuona...
salimia hapo NyasaunguBhugorobhwetikaInaonekana unatudharau sana sie wakulima wa njugu mawe huku Makojo na Mugango