Ulikuwa ni uchunguzi wa uvunjaji haki za binadamu.Kwamba hawakuruhusiwa kufanya uchunguzi ndio iwazuie kuwapeleka wakimbizi toka UK kwenda Rwanda? Shida nini sasa?
Kwahiyo kuishi Nchi yenye Vita kama Ukraine ni bora kuliko kuishi Rwanda?Ulikuwa ni uchunguzi wa uvunjaji haki za binadamu.
Rwanda inatuhumiwa kuwatesa watu walioshikiliwa na police na wengine kufa!
Halafu kuna unofficial detention facilities. Hizi ndio zile mtu amechukuliwa lakini ndugu hawajui walipo.
Pia hakuna press freedom. Kuna mwandishi aliukumiwa miaka 25 kama sijakosea.
Mkimbizi amekimbia nchi yake kwa sababu ya poor human right halafu unampeleka kwenye nchi ambayo inatuhumiwa kuvunja haki za binadamu!
Wakimbizi kama wanaotoka Ukraine wapo kwenye category tofauti. Hao application zao zinakuwa process hapo hapo UK au nchi jirani na Ukraine.Kwahiyo kuishi Nchi yenye Vita kama Ukraine ni bora kuliko kuishi Rwanda?
Ndio siasa zilivyo, hawa jamaa hawatoionja pepo, ni wabaya kuliko wachawiAlichosema July 2021:
View attachment 2187428
Na alichosema leo 14th April 2022:
View attachment 2187434
Kwani mkimbizi anaenda Rwanda kufanya siasa, utapata shida kama utaenda kufanya siasa, ila kama ni kuishi tu, Rwanda ni salamaWakimbizi kama wanaotoka Ukraine wapo kwenye category tofauti. Hao application zao zinakuwa process hapo hapo UK au nchi jirani na Ukraine.
Mfano watakao pelekwa uko Rwanda ni kama wale wanaokimbia Saudi Arabia wanataka ku claim asylum UK kwa sababu wanausudu mapenzi ya jinsia moja. Wakienda Rwanda sheria ni kama zile zile.
Au kama umekimbia prosecution kutokana na kumwandika Putin vibaya. Ukienda Rwanda msumeno ni ule ule.
Kuna nchi nyingi ambazo wangeweza kuingia nazo mkataba ambazo zina record nzuri.
Hawa wakimbizi application zao zinakuwa process kwa sheria za Rwanda na watakuwa wanaishi Rwanda.Kwani mkimbizi anaenda Rwanda kufanya siasa, utapata shida kama utaenda kufanya siasa, ila kama ni kuishi tu, Rwanda ni salama