HT
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,897
- 414
kwa nchi yetu ilipofikia, wana CCM waadilifu hawapewi nafasi simply kwa kuwa watatenda haki na kuwagusa 'wakubwa'. CCM ya Nyerere imejifia. Nawashauri wana CCM wanaonyimwa fursa kwa uadilifu wao watafute alternative badala ya kuomba rehema za wanyang'anyi na makundi yasiyo na tija kwa taaifa...