sambenet
Member
- Mar 5, 2011
- 47
- 7
- Thread starter
- #41
Hilo la umri pia ndilo linalonichanganya zaidi na ndo maana nimeamua kutojisumbua kuwa na mahusiano mengine. Bora tu niwe single for the rest of my life.
Anyway thanks mkuu.
Anyway thanks mkuu.
in red, sehemu zenye pumziko la ukweli kuzipata maisha ya leo ni ishu....
uvumilivu unamuhusu, ila umri unakimbia nao...