vexozanzhu
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 503
- 619
Mkuu kwanza nikupongeze
Kuna watu wengi umewazidi kifikra.
Kila mtu ana Ulemavu wa aina yake katika maelezo yako pale juu mwenyewe umejionea kwa tafiti za haraka wengi hatujawin kimaisha pamoja na uzima wa viungo kwa hiyo hapo umejifunza hali si kitu, mwaka unaisha wengi hatujatimiza hata nusu ya plans hivyo, mwenye masikitiko hauko peke yako tupo wengi kuna ulemavu wa tabia ambao huu unatibika kwa aina yake na mtu ukiwa na tabia flani pia kutusua ni issue, sasa kumbe wagonjwa tupo wengi tofauti ni namna tunavyoamua kuangalia na kutazama vitu.
Kuna dada anaitwa Wakonta instagram na wengine wapo nchi mbalimbali jaribu kupitia page zao hivi kuna mtazamo unaweza upata.
Pia yule daktari uliyeshauriwa fanya bidii mtafute, tafuta options kama ni kula vitu flani hivi kwa ajili ya viungo vimazoezi au massage kidogo,na kuna vitabu umeshauriwa vidownload visome vitakuongezea kitu kikubwa sana.
Usiweke matarajio makubwa yenye kupita uwezo, weka lengo lisilosumbua na halisi linaloendana na mazingira , watu wanaoweza kukusaidia ila yaweke tu ikiwa umeamua kubadilisha mtazamo wako jinsi unavyofikiri na unapofanikiwa kwa vitu vidogo vifurahie usilaumu saana unapofail kumbuka everyone blame so much few wins many lose only believeing will make you one of the winners.
ukijishughulisha na mtazamo positive then from nowhere positive things will come to you usiiangalie hali uliyonayo ndipo unapojiumiza na ndipo ugonjwa hasa ulipo,good vibes attract good things so as bad vibes....attract ....
Mtu ni akili na si kingine ukiamua kuweka imani na kutazama akili yako utafurahia mengi, sasa hivi base sana nakuandika vitu kama huu uzi una wachangiaji wengi sana kuna nyuzi zimeanzishwa nyingi hazina wachangiaji so this shows that you have something in you.
soma vitabu, then andika vitu unavyoweza ukitulia kuna namna mawazo flani hivi yatakujia, mtu ni vile anavyofikiri nakuwaza na tunawaza kwa ubongo na si kingine, halafu furahia sana vitu vidogovidogo unaweza kuona ni vyakawaida lakini si vyakawaida.
Furaha ya moyo ni vidonge tosha sana kwenye mwili ukijilaumu na kuweka uchungu ni sumu zaidi ya kumi umezimeza kwa mpigo.
Inawezekana ni mlemavu wa viungo lakini kwa uwezo wako unaweza kushauri Kundi la wataalamu na likapiga step
Jiweke sana na makundi yanayokupa moyo siyo yenye kukukatisha tamaa nakufanya uyalaumu maisha,
mawazo yako na yale yawatakaokuzunguka ndo yatakayokufanya uwe na mtazamo fulani
magonjwa mengi yanaumiza kwakuwa tumeamua kuyatazama kwa jinsi tunavyoyaogopa na jamii ya watu wengi inavyoyaangalia.
Ukipewa chance yakufanya kitu unachoweza fanya the best usiangalie hali yako sababu hali yako si wewe, watu wengi wengine wanamafanikio yakipesa lakini wana hali zao mbalimbali zipo kansa kisukari na mengine mengi lakini mtazamo wako ndo utafanya hiyo hali isikuumize kichwa.
Tafuta councellors wazuri watakusaidia sana unaweza ukajishangaa.
Ikiwezekana pia watu wanaokuzunguka /(au unaotaka kudeal nao kama ni biashara au shughuli yoyote) waoneshe hii page watapata namna flani katika fikra.
When things get tough be the toughest....things may then opt to be soft with you.
NOTA BENE: Mtafute Doctor Othman uliyeshauriwa na Cappitano
Ushauri wote humu upangie mkakati.
Kuna watu wengi umewazidi kifikra.
Kila mtu ana Ulemavu wa aina yake katika maelezo yako pale juu mwenyewe umejionea kwa tafiti za haraka wengi hatujawin kimaisha pamoja na uzima wa viungo kwa hiyo hapo umejifunza hali si kitu, mwaka unaisha wengi hatujatimiza hata nusu ya plans hivyo, mwenye masikitiko hauko peke yako tupo wengi kuna ulemavu wa tabia ambao huu unatibika kwa aina yake na mtu ukiwa na tabia flani pia kutusua ni issue, sasa kumbe wagonjwa tupo wengi tofauti ni namna tunavyoamua kuangalia na kutazama vitu.
Kuna dada anaitwa Wakonta instagram na wengine wapo nchi mbalimbali jaribu kupitia page zao hivi kuna mtazamo unaweza upata.
Pia yule daktari uliyeshauriwa fanya bidii mtafute, tafuta options kama ni kula vitu flani hivi kwa ajili ya viungo vimazoezi au massage kidogo,na kuna vitabu umeshauriwa vidownload visome vitakuongezea kitu kikubwa sana.
Usiweke matarajio makubwa yenye kupita uwezo, weka lengo lisilosumbua na halisi linaloendana na mazingira , watu wanaoweza kukusaidia ila yaweke tu ikiwa umeamua kubadilisha mtazamo wako jinsi unavyofikiri na unapofanikiwa kwa vitu vidogo vifurahie usilaumu saana unapofail kumbuka everyone blame so much few wins many lose only believeing will make you one of the winners.
ukijishughulisha na mtazamo positive then from nowhere positive things will come to you usiiangalie hali uliyonayo ndipo unapojiumiza na ndipo ugonjwa hasa ulipo,good vibes attract good things so as bad vibes....attract ....
Mtu ni akili na si kingine ukiamua kuweka imani na kutazama akili yako utafurahia mengi, sasa hivi base sana nakuandika vitu kama huu uzi una wachangiaji wengi sana kuna nyuzi zimeanzishwa nyingi hazina wachangiaji so this shows that you have something in you.
soma vitabu, then andika vitu unavyoweza ukitulia kuna namna mawazo flani hivi yatakujia, mtu ni vile anavyofikiri nakuwaza na tunawaza kwa ubongo na si kingine, halafu furahia sana vitu vidogovidogo unaweza kuona ni vyakawaida lakini si vyakawaida.
Furaha ya moyo ni vidonge tosha sana kwenye mwili ukijilaumu na kuweka uchungu ni sumu zaidi ya kumi umezimeza kwa mpigo.
Inawezekana ni mlemavu wa viungo lakini kwa uwezo wako unaweza kushauri Kundi la wataalamu na likapiga step
Jiweke sana na makundi yanayokupa moyo siyo yenye kukukatisha tamaa nakufanya uyalaumu maisha,
mawazo yako na yale yawatakaokuzunguka ndo yatakayokufanya uwe na mtazamo fulani
magonjwa mengi yanaumiza kwakuwa tumeamua kuyatazama kwa jinsi tunavyoyaogopa na jamii ya watu wengi inavyoyaangalia.
Ukipewa chance yakufanya kitu unachoweza fanya the best usiangalie hali yako sababu hali yako si wewe, watu wengi wengine wanamafanikio yakipesa lakini wana hali zao mbalimbali zipo kansa kisukari na mengine mengi lakini mtazamo wako ndo utafanya hiyo hali isikuumize kichwa.
Tafuta councellors wazuri watakusaidia sana unaweza ukajishangaa.
Ikiwezekana pia watu wanaokuzunguka /(au unaotaka kudeal nao kama ni biashara au shughuli yoyote) waoneshe hii page watapata namna flani katika fikra.
When things get tough be the toughest....things may then opt to be soft with you.
NOTA BENE: Mtafute Doctor Othman uliyeshauriwa na Cappitano
Ushauri wote humu upangie mkakati.