Bora nikate tamaa ili niwe salama

Bora nikate tamaa ili niwe salama

Mzeebaba itakuwa hujanielewa tu, yaani natamani sana kupambana lakini kuna ugonjwa umeniweka ndani aisee daaah yaani nikiwaona wanaopambana huko nje nahisi kupasuka maana namimi ningekuwa mmoja wao na hakika ningetoboa lakini ugonjwa umenipiga kabali ndomaana hata nataka nikate tamaa nisifocus tena yanayoendelea huko nje just niwe kama sipo vile nikubali tu kuwa siwezi kuwa kama nyinyi wazima
Una ugonjwa gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brother don't give up the fight,ingewezekana wote waliokata tamaa wafe basi wengi wasingekuwepo Leo hii,cha muhimu nikuendelea kutumia zawadi ya pumzi tuliopewa mpaka mwenye kutupa aamue kuikatisha,,,,,we all give up but time is a healer..

Jana nimekosa usingizi kwa kuwa mshkaji na rafiki wa karibu kuniambia ana cancer kitu ambacho kilinishtua sana na jamaa amekata tamaa kabisa na anachanganyikiwa age under35 ,nikamwambia ajikubali it just happen asikate tamaa pumzi ndo kila kitu ,ila ni changamoto kila MTU anapita kwenye njia tofauti ,nakuombea Mungu akupeni wepesi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pole sana friend. ..
Nilikuwa na mawazo kipindi cha nyuma like fire yaani usiku nilikuwa silali nilikaribia kabisa kuchanganyikiwa mawazo yote mabaya niliyafikiria sometimes nililia sana but all in all now naendelea vizuri niligundua jambo moja mtazamo wangu kuelekea maisha ndio ilikuwa tatizo kubwa ...
pia ukiwa na muda pitia linki hizi zilinisaidia pakubwa mno

Jinsi ya Kukabiliana na Mkazo

Mtazamo Unaweza Kuboresha Maisha Yako!
 
Nikweli mkuu namimi naendelea kupambana, Hope Mungu atanifanyia wepesi

Sent using Jamii Forums mobile app

Kabisaa mkuu Mungu ni mwema.

Matatizo na binadamu Ni mtu na pacha wake. Kuna mda unaweza kutamani at kufa lakini unajipa moyo siku zinasonga wakati mwingine unatamani at pasikuche.

Kuna thread moja ipo huku Kuna walemavu hawana at mikono lakini Ni wachoraji wazuri. Wanachora kutumia mdomo.

Ukiona akili yako imefika Mwisho mwombe Mungu aendelee ulipokomea.
 
nilichokuwa nasaidiwa ni kusomeshwa na chakula lakini vitu vingine vingi niliachieve mwenyewe, the same same nilivyofanikisha zamani nilidhani nitafanikisha hata leo lakini sasa nimekuwa mgonjwa/mlemavu nipo tu ndani mambo yamebadilika
Pole! Nina imani ndugu na jamaa wanaokuzunguka ni waelewa, na wanaona haja ya kukusaidia. Je una wazo unafikiri linaweza kukupa ahueni?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brother don't give up the fight,ingewezekana wote waliokata tamaa wafe basi wengi wasingekuwepo Leo hii,cha muhimu nikuendelea kutumia zawadi ya pumzi tuliopewa mpaka mwenye kutupa aamue kuikatisha,,,,,we all give up but time is a healer..

Jana nimekosa usingizi kwa kuwa mshkaji na rafiki wa karibu kuniambia ana cancer kitu ambacho kilinishtua sana na jamaa amekata tamaa kabisa na anachanganyikiwa age under35 ,nikamwambia ajikubali it just happen asikate tamaa pumzi ndo kila kitu ,ila ni changamoto kila MTU anapita kwenye njia tofauti ,nakuombea Mungu akupeni wepesi

Sent using Jamii Forums mobile app
huyo jamaa yako anayeumwa kansa kama hajaanza kupiga mionzi nataka tumsaidie kwa pamoja kwa kutumia lishe, uko tayari?
 
Pigania hapo hapo ulipo usikate tamaa..

Ukitaka kujua umuhimu wa mwanga
" nuru ".. usiulize anaye ishi na taa....muulize anayeishi "gizani"...

Anguko lake ni baya mno ...mno..

Jipe moyo...vita ni kubwa..tumia ile dhamira yako..ya kutokubali kushindwa..ili usikate tamaa..

Huku....usije!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pigania hapo hapo ulipo usikate tamaa..

Ukitaka kujua umuhimu wa mwanga
" nuru ".. usiulize anaye ishi na taa....muulize anayeishi "gizani"...

Anguko lake ni baya mno ...mno..

Jipe moyo...vita ni kubwa..tumia ile dhamira yako..ya kutokubali kushindwa..ili usikate tamaa..

Huku....usije!



Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu! napambana na tayari naona mwanga kwa mbali. Mambo yatakapokuwa magumu sitasita kurudi tena humu kuwashirikisha wadau. Imetokea JF ndipo nakutana na watu wanaonijaenga na kunipa mtazamo wa kusonga mbele tofauti na wanaonizunguka so here you are my best friends.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana mkuu! napambana na tayari naona mwanga kwa mbali. Mambo yatakapokuwa magumu sitasita kurudi tena humu kuwashirikisha wadau. Imetokea JF ndipo nakutana na watu wanaonijaenga na kunipa mtazamo wa kusonga mbele tofauti na wanaonizunguka so here you are my best friends.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi mkuu... unaendeleaje?
 
huyo jamaa yako anayeumwa kansa kama hajaanza kupiga mionzi nataka tumsaidie kwa pamoja kwa kutumia lishe, uko tayari?
Mkuu..nikuulize...hivi mgonjwa wa cancer..akianza kuitumia mionzi..ndio haiwezekani kupona tena??
 
Back
Top Bottom