maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,046
- 4,608
Narudia tena ni heri nife bila ya kua na mtoto kuliko kuzaa na mwanamke asie na akili maana mwanangu atateseka sana atakua na mama mpumbavu na hii itampelekea na yeye pia kua mpumbavu
Wanawake wasio na akili ndio hua wanawapandikiza chuki watoto juu ya baba zao, matokeo yake unakuta mtoto anakuchukia baba bila sababu ya msingi
Mwanamke asie na akili hawezi kumlea mtoto kwenye njia imasayo maana mda mwingi atautumia kwenye mambo yake. ya kipumbavu
Wanawake wasio na akili ndio hua wanawapandikiza chuki watoto juu ya baba zao, matokeo yake unakuta mtoto anakuchukia baba bila sababu ya msingi
Mwanamke asie na akili hawezi kumlea mtoto kwenye njia imasayo maana mda mwingi atautumia kwenye mambo yake. ya kipumbavu