smart mind69
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 205
- 304
Duu
Pole ya nini tena?Pole sana mkuu
Yaani niwe na akili halafu nimvulie chupi huyo? Akili zangu zitakuwa hazijanisaidia.
Huyo labda akili zangu ziishe ndio naweza kuzaa nae.
Una akili sana broh
Narudia tena ni heri nife bila ya kua na mtoto kuliko kuzaa na mwanamke asie na akili maana mwanangu atateseka sana atakua na mama mpumbavu na hii itampelekea na yeye pia kua mpumbavu
Wanawake wasio na akili ndio hua wanawapandikiza chuki watoto juu ya baba zao, matokeo yake unakuta mtoto anakuchukia baba bila sababu ya msingi
Mwanamke asie na akili hawezi kumlea mtoto kwenye njia imasayo maana mda mwingi atautumia kwenye mambo yake. ya kipumbavu
Ur so bright, I like itYou are very right,sio kila mwanamke anafaa kuwa mama wala mke, wengine wanatakiwa kubaki vipozeo tu
Mahangaiko unayoyapataPole ya nini tena?
Mzazi wako wa kike yupo kwenye kundi lipi ?Narudia tena ni heri nife bila ya kua na mtoto kuliko kuzaa na mwanamke asie na akili maana mwanangu atateseka sana atakua na mama mpumbavu na hii itampelekea na yeye pia kua mpumbavu
Wanawake wasio na akili ndio hua wanawapandikiza chuki watoto juu ya baba zao, matokeo yake unakuta mtoto anakuchukia baba bila sababu ya msingi
Mwanamke asie na akili hawezi kumlea mtoto kwenye njia imasayo maana mda mwingi atautumia kwenye mambo yake. ya kipumbavu
Yaani niwe na akili halafu nimvulie chupi huyo? Akili zangu zitakuwa hazijanisaidia.
Huyo labda akili zangu ziishe ndio naweza kuzaa nae.
Mimi ni bora nizae na mwanaume asie na akili kuliko kubaki bila mtoto, sisi ndio wanawake bwanaa wala hakuna anaetuelewa naweza kukuvutia saaaaana kwa tabia yangu na ukanioa ila mwisho wa siku utabaki mdomo wazi ukijiukiza ndo huyuuu au nimebadilishiwa, we muombe Mungu tuu unaeona ana akili awe nazo kweli..mana hata wasomi mnaowataka wanaishia kuwaachia watoto madada majumbani akili zake zote zipo ofisini..Poleni wanaume.
Karibu uwe christian na usiwe na mguu wa mtoto..nimekitunza mie.Kichaa nipo. Tufanye kitu basi
Waacha weeh bado kipo soft hakijatumika sana hongera kwakwelKaribu uwe christian na usiwe na mguu wa mtoto..nimekitunza mie.
NashukuruWaacha weeh bado kipo soft hakijatumika sana hongera kwakwel
Karibu uwe christian na usiwe na mguu wa mtoto..nimekitunza mie.