Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 8,950
- 35,410
Kwanini?Mwanamke kama wewe siyo wa kuwowa kabisa
Kwanini?Mwanamke kama wewe siyo wa kuwowa kabisa
Ndo mana kuna watu waliimba unaminyaminya nyanya, unanunua biringanya.Kuna dharula huwa zinatokea koo mnaweza jikuta mnaruka pamoja japo hamfanani kama umetembea sana utaelewa nimemaanisha nn
Nadhani humjui ndege tai, kaa kimya na uendelee kuwapata wanawake wa aina yakoKuna dharula huwa zinatokea koo mnaweza jikuta mnaruka pamoja japo hamfanani kama umetembea sana utaelewa nimemaanisha nn
Ungenielewa usingejibu hopefully hujanielewa na kukuelewesha sio majukumu yangu baki ulivoNadhani humjui ndege tai, kaa kimya
Kumbe huwa mnaamua tu kutuigiziaMimi ni bora nizae na mwanaume asie na akili kuliko kubaki bila mtoto, sisi ndio wanawake bwanaa wala hakuna anaetuelewa naweza kukuvutia saaaaana kwa tabia yangu na ukanioa ila mwisho wa siku utabaki mdomo wazi ukijiukiza ndo huyuuu au nimebadilishiwa, we muombe Mungu tuu unaeona ana akili awe nazo kweli..mana hata wasomi mnaowataka wanaishia kuwaachia watoto madada majumbani akili zake zote zipo ofisini..Poleni wanaume.
Kwa hilo jibu tu umejidhihirisha huna akili koo tiketi ya kuzaa na Mimi ushakosaYaani niwe na akili halafu nimvulie chupi huyo? Akili zangu zitakuwa hazijanisaidia.
Huyo labda akili zangu ziishe ndio naweza kuzaa nae.
Tumeumbwa ivo, sijui Mungu aliwaza nn.Kumbe huwa mnaamua tu kutuigizia
Narudia tena ni heri nife bila ya kua na mtoto kuliko kuzaa na mwanamke asie na akili maana mwanangu atateseka sana atakua na mama mpumbavu na hii itampelekea na yeye pia kua mpumbavu
Wanawake wasio na akili ndio hua wanawapandikiza chuki watoto juu ya baba zao, matokeo yake unakuta mtoto anakuchukia baba bila sababu ya msingi
Mwanamke asie na akili hawezi kumlea mtoto kwenye njia imasayo maana mda mwingi atautumia kwenye mambo yake. ya kipumbavu
Hapana mngekua mmeumbwa hivo msingejitambua ingekua inatokea tu automaticTumeumbwa ivo, sijui Mungu aliwaza nn.
Kwakua we mpumbavu basi unahisi wote wapumbavu kama wewekila mtu ni mpumbavu kwa mwenzake ila tunavumiliana tu na ktk hii dunia akunaga mtu mkamilifu asilimia zote
#mapenzi ni kujua mapungufu ya mwenzio na kujifunza kuishi nayo 👣straight Up
Akili ya mtaani brohUnamaanusha asili ya darasani au akili ya mtaani??
Basi makusudi.Hapana mngekua mmeumbwa hivo msingejitambua ingekua inatokea tu automatic
We unajiona mjanja ila kuna mwenzako anakuona boya tuKwakua we mpumbavu basi unahisi wote wapumbavu kama wewe
Eeeeh asa mda wrote kukubali ulikua wapBasi makusudi.
Acha kukiri udhaifuKila mtu kwa asili huwa hana akili hasa ukipatia kulegeza nati moja, hata angekuwa profesa utagundua kuwa hana akili. Take care in life!