Bora kuwa single!

Goku 255

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
449
Reaction score
867
Mimi nlipo nna miaka 46 sina mtoto wala mke, hakuna anayenipa stress nipo zangu naenjoy life.
Nnacho mshukuru Mungu mm sio mlevi wala mwanakamaria, kiuwezo nipo vizuri. Ila mahusiano no sitaki kuwaza. Na mwanamke hana faida yeyot, kama nikupika napika ten msosi mtamu, hata kama ni watoto siwataki maan hawana msaada wowote kwangu, kataa ndoa\mahusiano okoa kibunda.
 
Hili ni tatizo japo inawezekana hulioni.. Lilianzia ulaya likaingia bara hindi kwa kasi sasa naona limeshawasha indicator Africa!
Imagine wazazi wetu wangekuwa na mitazamo kama hii!
 
Una nguvu za kiume?.

Uliwah kuoa alaf ukaona hauna uwezo wa kumpa mtu Mimba ukaachika?.

Una mpenzi?.

Kwa miaka yote hiyo ushawah kukaa na mwanamke ndani?.
Sogea tukae.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…