Bora kuoa mwanamke yupi Kati ya hawa

Bora kuoa mwanamke yupi Kati ya hawa

Asee wanajf people's Power na kaz iendelee kuna mkanganyiko hapa

Bora kuoa mwanamke yupi Kati ya hawa
1.mwanamke mwenye mtoto(karibu la mume wake umeliona🤣)
2.mwanamke aliyekuzidi umri
3.mwanamke aliyekuzidi elimu
4. Mwanamke aliyekuzidi pesa

NB. Ni mwenye sifa moja(sio kwamba anasifa zote hizo)
Yupi bora??
Utazunguka weee utarudi kwenye upendo... Kikubwa ndani ya mapenzi ni upendo mengine yatafwata baada ya upendo, kama uvumilivu, tabia njema, na kumcha Mwenyenzi Mungu
 
Utazunguka weee utarudi kwenye upendo... Kikubwa ndani ya mapenzi ni upendo mengine yatafwata baada ya upendo, kama uvumilivu, tabia njema, na kumcha Mwenyenzi Mungu
Kuna uwezekano wa kumpata mtu mwenye hivi vyote
 
Nilisahau Namba 5.mwanamke wa dini sana
Asee wanajf people's Power na kaz iendelee kuna mkanganyiko hapa

Bora kuoa mwanamke yupi Kati ya hawa
1.mwanamke mwenye mtoto(karibu la mume wake umeliona🤣)
2.mwanamke aliyekuzidi umri
3.mwanamke aliyekuzidi elimu
4. Mwanamke aliyekuzidi pesa

NB. Ni mwenye sifa moja(sio kwamba anasifa zote hizo)
Yupi bora??
 
Mkuu umemaliza utata lakini naomba nkuulize if swala ni kuwa old why mengi aliachana na mkewe?? Lakini mbili hapo why bill gate au Vladimir putin hakuna mnyw mke na Wana wana vigezo hivo vitatu 1.older 2.wealth and 4.fit

Lakini kuna Kasumba inaonesha mtu akishafika miaka 35 kuna possibility Huyu akiingia kwny ndoa hasidumu sababu alikuwa kashaizoea uhuru
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom