Heri kukaa jangwani kuliko kukaa nyumbani na mwanamke mpumbavu,Mwanamke anayebwabwaja bila kituo ni janga.
Ndoa na iheshimiwe na watu wote.Waebrania 13:4.[/QUO
saa nyingine unaweza fikiri unachangia kumbe unatusema yaani mama Ngina wa kwangu ni janga hanaga zuri napata shida mpaka watoto nimekimbiza boarding
Heri kukaa jangwani kuliko kukaa nyumbani na mwanamke mpumbavu,Mwanamke anayebwabwaja bila kituo ni janga.
Ndoa na iheshimiwe na watu wote.Waebrania 13:4.[/QUO
saa nyingine unaweza fikiri unachangia kumbe unatusema yaani mama Ngina wa kwangu ni janga hanaga zuri napata shida mpaka watoto nimekimbiza boarding
hahahahaa pole mkuu Muombee kwa Mungu aweza mbadilisha siku moja,wakati mwingine ni kumsikiliza tu mpaka mate yamkauka mdomoni ananyamaza mwenyewe.
Ndoa na iheshimiwe na watu wote.Waebrania 13:4
Ndugu hujasoma kiswahili nini? Hapa najaribu tu kuonyesha kuwa mtu mlalamishi ni si mzuri kama ilivyo kwa mchawi. Neno mchawi ni kama kivumishi tu.kwaio ndo unaona ni bora mchawi?
Hivi unamjua mchawi au wajisemea tu.....?
Mwambie huyo,..hivi ajui kuwa ulisoma na mchawi....kwaio ndo unaona ni bora mchawi?
Hivi unamjua mchawi au wajisemea tu.....?
Usiombe uwe na partner (Mke/mume/bf/gf) mlalamishi. Aisee Ni shiiiiiiiiiidaaaaaaaaaaaa. Yaani all the time hakuna jambo zuri kwake.
Bora asiwe mume/mke. Ila kama ni mume au mke ni hatariiii, usiombee.ila ukweli mtu mlalamish huwa anaboa sanaaa
mie ata wanangu wanajua kabisaa ukija ni mtu wa kulalamika klalamika tuu wanajua wanahatari ya kuamsha yaliyolala buree
Ndugu hujasoma kiswahili nini? Hapa najaribu tu kuonyesha kuwa mtu mlalamishi ni si mzuri kama ilivyo kwa mchawi. Neno mchawi ni kama kivumishi tu.
Mwambie huyo,..hivi ajui kuwa ulisoma na mchawi....
Wakati wa uchumba halalamiki hata kidogo, ni mwendo wa usijali baby, hakuna shida. Loooooo akiingia ndani ndo utakoma.Hadi unamuoa ulikuwa hujui kuwa yeye ni mlalamishi??
Usiombe uwe na partner (Mke/mume/bf/gf) mlalamishi. Aisee Ni shiiiiiiiiiidaaaaaaaaaaaa. Yaani all the time hakuna jambo zuri kwake.