hello wanajf hope mpo well wakati mwingine tunawaonea wasichana walo soma eti wanawadharau waume zao pale wanapoolewa na wanaume ambao hawajasoma,kwa upande mwingine nao wanaume wanamatatizo ya kujishtukia utasikia ktk kitu chochote ''au unafanya hv kwa kuwa umesoma'',maneno kama haya huwa yanaboa c siri hasa pale mnapokuwa munaongea mambo ya kawaida tu hauna hata idea kama hiyo.kutokana na haya matatizo ni bora wasomi waoane kwa wasomi au mnasemaje wanajf.