ccm wana mbinu m-badala
ha ha ha hakika chadema ni noma arusha jamani na hapa dar pangekuwa kama arusha.
Hapa Arusha tangu kampeni za madiwani zimeanza naona tu CHADEMA. ndiyo naona wanalisongesha mapambano naona CCM wameingia mtini
Kukubali yaishe ni njia ya mtu yeyote aliyejaaliwa busara japo kidogo. Inawezekana sasa labda viongozi wa CCM Arusha wamepata hiyo busara kiduchu
Wanafanya kampeni za nyumba kwa nyumba usiku huku kimandolu na kuna taarifa wamepewa ml 60,zaidi wanapita nyumba za kabila la waarusha na wamasai. saa 2 jana usiku walikuwa mskitini wanasubiri waislamu wakitoka wanaomba kura.
Hapa Arusha tangu kampeni za madiwani zimeanza naona tu CHADEMA. ndiyo naona wanalisongesha mapambano naona CCM wameingia mtini