Hao ni kuwabana. Ukiwachia upenyo wanabadili matokeo kweli.Hii hali inatukatisha tamaa sie magamba....................... wacha tubaki na mkakati wa kudili na wasimamizi wa uchaguzi ili wakimbie na masanduku ya kura
Hao ni kuwabana. Ukiwachia upenyo wanabadili matokeo kweli.
Mkuu Mungi, umesahau ya 2010 kule Tarime. Jamaa wametoka nduki na masanduku halafu walikuwa na vya moto.Tatizo chadema wapo makini kusimamia kura, hapo la msingi magamba lazima tuwaweke wanariadha kuwa wasimamizi wa uchaguzi, tena wanaoweza kukimbia mbio za mita mia.
Kampeni za udiwani za chadema kata ya kimandolu zimekuwa zikijaa wapiga kura kiasi cha kufanya ccm washindwe kuanza kampeni za mchana na kubakia kufanya kampeni za usiku.
Hawa magamba hapa arusha hawana kitu
jana cuf walizindua kampeni. mtitiro alikuwepo hapo relini.hawakupata watu ikabidi wawanunulie vijana banana wine wawawekee na muziki hakupata watu zaidi ya 60.arusha kweli ina wenyewe
Ohooooo Chadema, muwe makini. Wakati mnaendelea na kampeni, kumbukeni kuwa wenzenu wanawatumia mabalozi wa nyumba kumi kumi kupiga kampeni nyumba kwa nyumba, kitanda kwa kitanda. Pia fwedha inatembea, CHADEMA kaza buti.......>!!!!!!!
Hapa Arusha tangu kampeni za madiwani zimeanza naona tu CHADEMA. ndiyo naona wanalisongesha mapambano naona CCM wameingia mtini