Bora CCM wamejua Arusha hawana lao

Bora CCM wamejua Arusha hawana lao

Chama cha majambazi chali kipo tu pale magogoni yani arusha chadema ni chaguo la mungu na wazalendo wa tz hawa wanaokibeza chama wamepewa kanga kofia na vingine vidogo mkipewa fungu kubwa hata mke wako waweza kumbinafsisha joh ccm bhana hakuna sera ulimi nje kama vile mbwa mwizi anayekimbizwa. Mpira utachezwa peupe heko kwa makamanda wote pale mlipo ushindi ni wetu peplez power daima
 
Fanyeni marejeo ya uchaguzi mdogo wa Busanda, CCM wakiongozwa na Buldozer Malecela waliweza kushinda bila kupitia kwenye majukwaa

Buldozer A.K.A TINGATINGA limejenga lami halafu halitakiwi kupita juu yake ! Eti Kibajaji kimeangusha Greda , siamini !
 
Mpaka mwisho wa mwaka huu , hivyo ndivyo itakakavyokuwa nchi nzima !
 
Hapa Arusha tangu kampeni za madiwani zimeanza naona tu CHADEMA. ndiyo naona wanalisongesha mapambano naona CCM wameingia mtini

Mkuu ccm wanapiga kampeni zao kwenye mahoteli ya kitalii
 
Ndachuwa na wengineo wote naomba mfahamu kuwa nimebahatika kukutana na madereva wawili waliobeba kura za wizi Busanda na Igunga. Nilimwuliza wa kwanza iweje CDM isindwe Busanda? Akanijibu ilikuwa very simple kwa FFU kurusha mabomu ya machozi kisha watu kutawanyika na kuingiza Ready Made votes kwenye ballot boxes na kuzichukua kura halisi na kuzipiga kiberiti. Vivyo hivyo aliyebeba kura Ready Made votes za Igunga ni rafiki ya jirani yangu. Mbinu zile zile i.e. Same Modus Operandi. Ila kwa Arusha ni kugumu kidogo maana wale wengi wao ni wavuta bangi na watata sana hawachelewi kutembeza sime/mapanga maana Arusha kumkata mtu na sime au panga kisa amekudhulumu jero yaani TZS 500/= ni rahisi sana. Hawana simile kwenye kudai haki yao. Kwenye ugomvi wa ngumi jamaa akishindwa ukaona ametoka mbio kuelekea nyumbani kwake na wewe anza mbio kuepusha kifo maana ujue amefuata sime au panga. Nafikiri CCM wafanye kazi ya ziada kuiba kura. CCM inachukiwa SANA Arusha na majuzi Mulongo kuwatuma Askari wamkamate Mbunge wao kama Jambazi ndiyo amedizisha chuki kupita kiasi. Moshi na Arusha ni safe Heaven ya Chadema
Ndugu yangu hata Makidara Mosi hakuwa muongo kiasi hicho
Maana km kupiga mabomu vituo vyote na kubadili matokeo kwa kila sanduku ni kitu kisichowezekana, ina maana hakukuwa na ulinzi hata wa Vyama vingine?
Nakushauri sio kila mpiga kelele ndio mpiga kura, nakubaliana na wewe kabisa kuwa machalii wa arusha wataleta fujo lakini sio watawalazimisha kina mama na wazee iliwazione kura zao (Kura ni Siri) na hata wewe unajua km ulishawahi kuwa na uhusiano wa mgombea wa NCCR
(hata mkipata wavuta bangi sio watapiga kura wenyewe)
 
Fanyeni marejeo ya uchaguzi mdogo wa Busanda, CCM wakiongozwa na Buldozer Malecela waliweza kushinda bila kupitia kwenye majukwaa




Ndugu yangu wewe unafananisha kifo na usingizi, watanzania wameamka siku hizi
 
Hapa Arusha tangu kampeni za madiwani zimeanza naona tu CHADEMA. ndiyo naona wanalisongesha mapambano naona CCM wameingia mtini
kwa hapa Arusha inaitaji mtu asiyekuwa na aibu ya kuzomewa kuitangaza ccm
 
inaonekana wewe hukuwepo ulisikia tu katika vyombo vya habari. Kapeini za busanda CCM ilifanya kwa nguvu kubwa sana mpaka wakawa wanapigana makonde kati yao na CDM na pia mgombea wao akiwa anapiga magoti jukwaani kila mara kuomba kura Danganya watoto.
Pia wiki moja kabla ya Uchaguzi Reginald Mengi aliwapa CCM zaidi ya shilingi milioni 100 kisirisiri ili ikafanye kazi maalum.
 
hata kama ni uwizi wa kura wanajua hawana lao maana machalii wa huko hawataki longolongo.

nawashauri ccm waachane na huu mchezo wa kuiba kura.wameufanya kwa miaka mingi.wananchi wameshagundua kuwa lengo la kungangania madarakani ni kuibia wananchi na sio kuendeleza nchi.!!!!!!!!!!!!!!!inasemekana hata kwenye makampuni ya gesi wamo.wasifkiri kwamba watu wamesahau sukita.watu wana hasira sana,sio siri.
 
hata kama ni uwizi wa kura wanajua hawana lao maana machalii wa huko hawataki longolongo.

nawashauri ccm waachane na huu mchezo wa kuiba kura.wameufanya kwa miaka mingi.wananchi wameshagundua kuwa lengo lao la kungangania madarakani ni kuibia wananchi na sio kuendeleza nchi.!!!!!!!!!!!!!!!inasemekana hata kwenye makampuni ya gesi wamo.wasifkiri kwamba watu wamesahau sukita.watu wana hasira sana,sio siri.
 
mimi sina shaka kama waliweza kushinda arumeru uchaguzi wa ubunge tena na ukizingatia lilikuwa jimbo la ccm basi kwa arusha sina shaka kabisa kwa sbabu najua chadema mziki wake ni mzito sana
 
Makundi na chuki ndani ya ccm,
JK kasema Lowasa kwa nguvu yake ataiwezesha CCM ishinde udiwani Makuyuni ghafla kaja Nape kuifuta kauli ya JK kisa hataki kusikia jina Lowasa likitajwa.

Hata mimi nimemshangaa nape kumpinga boss wake.Nape tumia busara katika nafasi uliyopewa wewe bado ni bwana mdogo sana huwezi kushindana na Mh Lowasa kwenye ulingo wa siasa za tanzania.
 
Kwa kata nne za Arusha CCM hata mje na Vipapatio vya Kuku na Bata nawambieni iliyokweli Hampati kitu Hapa! LAZIMA ushinde ni wa CHADEMA. (kumbukeni kata ya daraja mbili ilikuwa ya CCM LAKINI mliondoka mmelowana majasho mpaka kwenye nyayo za miguu)
 
Hapa Arusha tangu kampeni za madiwani zimeanza naona tu CHADEMA. ndiyo naona wanalisongesha mapambano naona CCM wameingia mtini
Hizo ni rasharasha tu, maeneo mengi sana watayakimbia mwaka 2015. Mana wanachokifanya sasa hivi ni kupandikiza chuki kwa wananchi badala ya kujitengenezea mtaji wa 2015.
 
kichwa kidogo ku-p2akatwa na kupakatwa ni tofauti we kilaza!!
sawa wewe mwenye libichwa likubwa ulieamka na na ambaye wana ku-p2akatwa huwa wanakufanyaje mie mshamba wala sijui maana zaidi ya kuona una bichwa kubwa na domo chafu kama shimo la choo.
 
Hapa Arusha tangu kampeni za madiwani zimeanza naona tu CHADEMA. ndiyo naona wanalisongesha mapambano naona CCM wameingia mtini

Washajua kusoma alama za nyakati
 
Kampeni za udiwani za chadema kata ya kimandolu zimekuwa zikijaa wapiga kura kiasi cha kufanya ccm washindwe kuanza kampeni za mchana na kubakia kufanya kampeni za usiku.
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1369321866233.jpg
    uploadfromtaptalk1369321866233.jpg
    60.6 KB · Views: 335
Back
Top Bottom