lomwe minja
Member
- Apr 5, 2013
- 26
- 0
Chadema arusha tumeshnda siku nyingne ni sherehe tu,
Fanyeni marejeo ya uchaguzi mdogo wa Busanda, CCM wakiongozwa na Buldozer Malecela waliweza kushinda bila kupitia kwenye majukwaa
Longo longo zao tushazizoea, msimu huu ni kupiga kura na kulinda kura. Haibi mtu hapa!!!Hata kama ni uwizi wa kura wanajua hawana lao maana machalii wa huko hawataki longolongo.
Rejea ule uchaguzi mdogo si mkuu wa 2010Kuna Busanda mbili mzee au?
Hapa Arusha tangu kampeni za madiwani zimeanza naona tu CHADEMA. ndiyo naona wanalisongesha mapambano naona CCM wameingia mtini
ccm wana mbinu m-badala
Hii ndio kanda ya Kaskazini wenye uchu wa madaraka wako kanda ya kaskazini, mafisadi wengi tajwa wanatoka kanda ya kaskazini bila kujalii vyama vyao, waliovunja ndoa za watu na kushindwa upadiri wako kanda ya kaskazini lakini angalieni msije makapata presha ya 2010 maana mnajipa matumaini theni wakati wa kupiga kula manakuwa hamjajiandikisha.Ndachuwa na wengineo wote naomba mfahamu kuwa nimebahatika kukutana na madereva wawili waliobeba kura za wizi Busanda na Igunga. Nilimwuliza wa kwanza iweje CDM isindwe Busanda? Akanijibu ilikuwa very simple kwa FFU kurusha mabomu ya machozi kisha watu kutawanyika na kuingiza Ready Made votes kwenye ballot boxes na kuzichukua kura halisi na kuzipiga kiberiti. Vivyo hivyo aliyebeba kura Ready Made votes za Igunga ni rafiki ya jirani yangu. Mbinu zile zile i.e. Same Modus Operandi. Ila kwa Arusha ni kugumu kidogo maana wale wengi wao ni wavuta bangi na watata sana hawachelewi kutembeza sime/mapanga maana Arusha kumkata mtu na sime au panga kisa amekudhulumu jero yaani TZS 500/= ni rahisi sana. Hawana simile kwenye kudai haki yao. Kwenye ugomvi wa ngumi jamaa akishindwa ukaona ametoka mbio kuelekea nyumbani kwake na wewe anza mbio kuepusha kifo maana ujue amefuata sime au panga. Nafikiri CCM wafanye kazi ya ziada kuiba kura. CCM inachukiwa SANA Arusha na majuzi Mulongo kuwatuma Askari wamkamate Mbunge wao kama Jambazi ndiyo amedizisha chuki kupita kiasi. Moshi na Arusha ni safe Heaven ya Chadema
Fanyeni marejeo ya uchaguzi mdogo wa Busanda, CCM wakiongozwa na Buldozer Malecela waliweza kushinda bila kupitia kwenye majukwaa
Fanyeni marejeo ya uchaguzi mdogo wa Busanda, CCM wakiongozwa na Buldozer Malecela waliweza kushinda bila kupitia kwenye majukwaa
ccm wana mbinu m-badala[/QU hawana lolote wamefika mwisho mbinu zote zimeshachoka
Busanda uchaguzi ulikuwa lini vile?
Mwigulu si alifanya makanisani kwa wameru kwa kufanya surprise ya elfu 20,000 kw akiala mzee wa kanisa ktk kikao ambacho hakualikwa.Waliambulia nini? Siku hizi Arusha CDM wamefikia level ya Kuweza weka wagombea wake wote ktk uchaguzi mmoja.Yaani wagombea wote wa vyama vyote wakawa ni CDM.Wanasema siasa za kupanda jukwaan zinataka vijana nguvu waliyobakiwa nayo ni ya kusubiria watu wakitoka kanisani na misikitini wawape vipeperushi tu.
Utatoka povu hadi utapike utumbo!! mwaka huu!! endelea na kubwabwaja UKANDA! UDINI! UKABILA!! shen-zi type!!Hii ndio kanda ya Kaskazini wenye uchu wa madaraka wako kanda ya kaskazini, mafisadi wengi tajwa wanatoka kanda ya kaskazini bila kujalii vyama vyao, waliovunja ndoa za watu na kushindwa upadiri wako kanda ya kaskazini lakini angalieni msije makapata presha ya 2010 maana mnajipa matumaini theni wakati wa kupiga kula manakuwa hamjajiandikisha.
Taratibu Mhe. mtarajiwa mimi naona wewe ndio watoka povu uhuru wa maoni ni sawa na uhuru wa kuabudu povu la nini? nyie si ndio mwataka yaundwe majimbo ya kikanda kama wabisha pinga! nyie si ndio mwataka raisi ajaye atoke kanda hiyo? hapa inabidi kuchambua na sifa tulizonazo watu wa kanda hiyo kuanzia wizi, na wizi siku zote hauachani na .................... tabia za kifisadi na nyinginezo si sunajua tunavyojijua.Utatoka povu hadi utapike utumbo!! mwaka huu!! endelea na kubwabwaja UKANDA! UDINI! UKABILA!! shen-zi type!!
Hivi vijana wa ccm hawawezi kutoa hoja pasipo kuhusisha ubaguzi, Au ndo dalili za kukata tamaa?Hii ndio kanda ya Kaskazini wenye uchu wa madaraka wako kanda ya kaskazini, mafisadi wengi tajwa wanatoka kanda ya kaskazini bila kujalii vyama vyao, waliovunja ndoa za watu na kushindwa upadiri wako kanda ya kaskazini lakini angalieni msije makapata presha ya 2010 maana mnajipa matumaini theni wakati wa kupiga kula manakuwa hamjajiandikisha.
matusi kama una-P2akatwa vile!!Taratibu Mhe. mtarajiwa mimi naona wewe ndio watoka povu uhuru wa maoni ni sawa na uhuru wa kuabudu povu la nini? nyie si ndio mwataka yaundwe majimbo ya kikanda kama wabisha pinga! nyie si ndio mwataka raisi ajaye atoke kanda hiyo? hapa inabidi kuchambua na sifa tulizonazo watu wa kanda hiyo kuanzia wizi, na wizi siku zote hauachani na .................... tabia za kifisadi na nyinginezo si sunajua tunavyojijua.
ha ha ha hakika chadema ni noma arusha jamani na hapa dar pangekuwa kama arusha.