Hapo ni kumshauri au kumpotoshaMara 1,000 ulinunulie simu kuliko kutia kwenye kuku.
Nakwambia tena asikudanganye mtu kufuga kuku hasa ukiwa mbali nao
Mkuu acha uchoyo wa kuitana pm,ebu mwaga hasara zake na sie tujue banaSikushauri kufuga,hii
biashara
nilifanyasana
ukitakatushirikiane
njoo
pm
Kichwa kina husika kama upo tayari na upo kwenu au sehemu ya kukuruhusu kufuga kuku, natoa laki tano maelezo kwa koment ntakupa
Ach kukatisha tamaa vijana tunaotafuta fursa,asa mtu akifuga kuku kunahusiana vp na kufeli?Tumia bumu lako kwa vyema na usome, lengo la kuwa shuleni ni kusoma, tena usome kwa amani bila shida. Haya mahangaiko unayoyatatfuata hayatakusaidia. Mradi wa kuku waweza kufa na wewe ufeli!
Ni mambo ya kipuuzi hayo mkuu? Au wew hujawahi kushika bum nin unafkiri kaz yake ni kula tu?nyie vijana someni acheni kutumia boom kwenye mambo ya kipuuzi
Akili fupi sana,laki 5 ndogo kweli? We umefunga ninMbona laki tano dogo sanaaaa Hafany utafiti mm nimefunga sanaaa
Mwambie aweke akiba atafuga akimaliza,hilo ni wazo la kitoto kwamb anunue simu itamsaidia nin?Mara 1,000 ulinunulie simu kuliko kutia kwenye kuku.
Nakwambia tena asikudanganye mtu kufuga kuku hasa ukiwa mbali nao
boom linatoka lini?Kichwa kina husika kama upo tayari na upo kwenu au sehemu ya kukuruhusu kufuga kuku, natoa laki tano maelezo kwa koment ntakupa
Hapo ni kumshauri au kumpotosha
anunue simu ili imsaidie nini
mshauri mambo ya maana so kumkatisha tamaa
kama ww umeshindwa acha wengine wafanye watatoka tuu.
Ach kukatisha tamaa vijana tunaotafuta fursa,asa mtu akifuga kuku kunahusiana vp na kufeli?
mimi Boom nilishika mkuu ila siamini kama pesa ile unaweza kufanyia kitu kingine. vinginevyo utajitesa bure tu kuja kushindia na kulalia mkate na maji. tulishawaona watu kama nyie sana. mwishowe mnaishia kwenye madeni na kufeli masomo na stress. haya mambo ya biashara na miradi hembu yapumzishe kidogoNi mambo ya kipuuzi hayo mkuu? Au wew hujawahi kushika bum nin unafkiri kaz yake ni kula tu?
Inategemeana lakini mkuu mfano unaweza ukawa unapokea kama laki 5 hivi,then katika matumiz yako unasave kama laki 2 hivi nadhani unaweza ukaituma kijijin ukampa mzazi akusaidie kusave au hata kuwekeza mahali fulani huku ukaendelea kusoma,labda inaweza kuleta shida kama ukijiinvolve katik hayo mambo 100% ila kama ni kwa sehemu tu unaweza ukafanikiwa then after kumaliza chuo unaenda kuendleza miradi kwa hela uliyokuwa unasave wakati huo.mimi Boom nilishika mkuu ila siamini kama pesa ile unaweza kufanyia kitu kingine. vinginevyo utajitesa bure tu kuja kushindia na kulalia mkate na maji. tulishawaona watu kama nyie sana. mwishowe mnaishia kwenye madeni na kufeli masomo na stress. haya mambo ya biashara na miradi hembu yapumzishe kidogo
Mkuu acha vijana watafute. Kwa wengine boom ni bonus, acha wajiendeleze kiuchumi. No bora huyo kuliko wanaoenda kuziteketeza hizo pesa kwenye starehe.nyie vijana someni acheni kutumia boom kwenye mambo ya kipuuzi