Boom la kwanza TRANSFER Vyuoni

avi.JNR

Senior Member
Nov 17, 2015
139
87
Najua wanafunzi wa TRANSFER BADO wengi mna hussle vya kutosha ..ni baada ya kuvumilia zaidi ya MIEZI MINNE ambayo academically tunaita SEMISTER moja ..poleni sana na pole pia kwa waliosaini BATCH 13.14.15. kwa kusaini 524000 namaanisha boom la 2 ....

Baada ya kufanya tatfiti zaidi ya 3 pale board nimengundua tunachezewa kamchezo
Nilipoohiji kwa siku ya kwanza majibu yalikuwa kama ifutavyo

Day one: "tukiwalipa transfer basi huwa tunalipa kutokana na wenzao tumewalipa mpaka wapi" akimanisha kama wengne wamelipwa boom mbili.basi transfer watawekewa zoote

Day two: "unajua transfer watalipwa second quater kwa kuwa pesa zao za kwanza hazijarudishwa kutoka vyuonii"
siku hiyo hiyo nikaenda ofgice nyingne wakaniambai
"pesa za return zimerudi sema bado ziko juu zinazinguka.."nilicheka sana kwa majibu yao..

Day three: kutokana kwamba waliniambia pesa ziko juu nikaenda siku nyingne nione kama zimeshuka wakanambia hivi "pesa za boom la kwanza zimefika jana .." hivi hiyo ni dharau au nn?

basi nia yao kubwa ni kutafuna pesa yetu..maana nimeenda vyuo zaidi ya vinne wanadai RETURN ZIPO board since JANUARY walivyomaliza kusainisha wanafunzi wao boom la kwanza

Kazi kwako mwana TRANSFER unaye hussle kama mm kudemand haki yako..

mm Jumatatu nitaenda tena ..nikiwa sasa sitaki siasa...
NOMBENI TRANSFERS TU tushauriane tunafanya nn? KABLA YA LIKIZO
 
Punguza mchecheto pesa yako itaingia na quarter 3 ndio hua kawaida maana kuna memorandum of understanding kati ya bodi na chuo kua pesa inarudshwa bodi baada ya miez mi3 ndio processing ya kuhamisha inaanza kwaio shuruba ya kuhama chuo bila kupitua tcu ndio hioo unakaa semester nzima bila boom na mbaya zaidi kama chuo chako ulichohamia hawafatilii
 
Najua wanafunzi wa TRANSFER BADO wengi mna hussle vya kutosha ..ni baada ya kuvumilia zaidi ya MIEZI MINNE ambayo academically tunaita SEMISTER moja ..poleni sana na pole pia kwa waliosaini BATCH 13.14.15. kwa kusaini 524000 namaanisha boom la 2 ....

Baada ya kufanya tatfiti zaidi ya 3 pale board nimengundua tunachezewa kamchezo
Nilipoohiji kwa siku ya kwanza majibu yalikuwa kama ifutavyo

Day one: "tukiwalipa transfer basi huwa tunalipa kutokana na wenzao tumewalipa mpaka wapi" akimanisha kama wengne wamelipwa boom mbili.basi transfer watawekewa zoote

Day two: "unajua transfer watalipwa second quater kwa kuwa pesa zao za kwanza hazijarudishwa kutoka vyuonii"
siku hiyo hiyo nikaenda ofgice nyingne wakaniambai
"pesa za return zimerudi sema bado ziko juu zinazinguka.."nilicheka sana kwa majibu yao..

Day three: kutokana kwamba waliniambia pesa ziko juu nikaenda siku nyingne nione kama zimeshuka wakanambia hivi "pesa za boom la kwanza zimefika jana .." hivi hiyo ni dharau au nn?

basi nia yao kubwa ni kutafuna pesa yetu..maana nimeenda vyuo zaidi ya vinne wanadai RETURN ZIPO board since JANUARY walivyomaliza kusainisha wanafunzi wao boom la kwanza

Kazi kwako mwana TRANSFER unaye hussle kama mm kudemand haki yako..

mm Jumatatu nitaenda tena ..nikiwa sasa sitaki siasa...
NOMBENI TRANSFERS TU tushauriane tunafanya nn? KABLA YA LIKIZO
 
Nikupongeze mkuuu kwa upambanaji wako wewe na Mimi tumepambana sana juu ya mahalamia hawa wa loanbord hatimaye Jana nimesaini purtor ya 2 but puotor ya 1 wanasema kama unavyodai jamani hiii ni haki yetu inatakiwa hii hela tuondoke nayo .Ndugu zangu tushikamane pamoja tutashinda
 
Je sisi tulio-appeal majibu yetu lini watatoa.kwa anaefaham atujuze maana naona kimya tu au ndo tumeshachinjiwa baharin hivyo
 
Je sisi tulio-appeal majibu yetu lini watatoa.kwa anaefaham atujuze maana naona kimya tu au ndo tumeshachinjiwa baharin hivyo
Appeal zilianza kutoka since BATCH 14 SO kama haupo subiri mpka watakapomaliza batch zao
 
Nikupongeze mkuuu kwa upambanaji wako wewe na Mimi tumepambana sana juu ya mahalamia hawa wa loanbord hatimaye Jana nimesaini purtor ya 2 but puotor ya 1 wanasema kama unavyodai jamani hiii ni haki yetu inatakiwa hii hela tuondoke nayo .Ndugu zangu tushikamane pamoja tutashinda
Ni kweli mkuu ila nina imani KABLA ya mm kwenda Likizo ntakuwa nimesashasaini iyo pesa ..maana

Hata Batch 15 walidai itatoka badaa ya week 2 batch 14 kutoka ..lakini kwa force yetu walitoa withini two days baada ya batch 14 kutoka ..na hapa sisi batch ya 15 tumelipwa ikiwa wwngne batch 14 na 13 bado kutokana na wao kujifanya wanasubirii vyuonii..

I promise ntasaini hii 700000 kabla ya week hii kuisha trust me
 
Punguza mchecheto pesa yako itaingia na quarter 3 ndio hua kawaida maana kuna memorandum of understanding kati ya bodi na chuo kua pesa inarudshwa bodi baada ya miez mi3 ndio processing ya kuhamisha inaanza kwaio shuruba ya kuhama chuo bila kupitua tcu ndio hioo unakaa semester nzima bila boom na mbaya zaidi kama chuo chako ulichohamia hawafatilii
Mkuu kwa ulivyosema ni kweli ila ni kwa MAZOEA ..hata mwanzo tulikuwa tunaambiwa hivyo lakini mpka sasa pesa yangu iniangia kesho bank..hivyo naamini nikifight nitapata pesa yangu ontime .sio kama ilivyozoeeleka ..mm naamini ndo ntafanya ibadilike wasifanye kazi kwa mazoea
 
Mkuuu [HASHTAG]#Avi[/HASHTAG] jnr ni Pm namba yako tupange mchakato namna gani tupambane siku zote akili ndogo haiwezi tawala akili kubwa naamini boom wiki hili la pili tutasaini heti wanadai return bado mkopo wangu ulienda hapo tu udsm nikamuuliza unatambua Dada wajibu wako akajibu ndio nikatikisa kichwa nikamuambia j5 ntarudi naomba uandae sababu za kisayansi sio majibu laini hivo
 
Mkuuu [HASHTAG]#Avi[/HASHTAG] jnr ni Pm namba yako tupange mchakato namna gani tupambane siku zote akili ndogo haiwezi tawala akili kubwa naamini boom wiki hili la pili tutasaini heti wanadai return bado mkopo wangu ulienda hapo tu udsm nikamuuliza unatambua Dada wajibu wako akajibu ndio nikatikisa kichwa nikamuambia j5 ntarudi naomba uandae sababu za kisayansi sio majibu laini hivo
Mkuu umeongea point ..nimektunia kwa private
 
fuatilia pesa lakini ukumbuke na kutenga muda wa kujisomea, coz chuo si mchezo vinginevyo utadisco na hiyo hela hautoipata tena
 
Mtarban#huwezi ukasoma huku huna pesa Mimi kwa taarifa yako nafatilia boom langu na cha muhimu nipate tu notes zilizofundishwa A kama kawa.Ndugu zangu transfer tupambane na mahalamia hawa wa Bodi ya mikopo heti kila siku return bado wakati zilisharudi J5 nakuja muandae majibu ya kisayansi nahitaji ijumaaa nisaini boom hizi zama si za kusubiri hapa kazi tu.
 
fuatilia pesa lakini ukumbuke na kutenga muda wa kujisomea, coz chuo si mchezo vinginevyo utadisco na hiyo hela hautoipata tena
Yaaaah sidhan km mwanafunzi makni bado silitambui iloo mkuu.najua namna ya kupanga ratiba yangu b'cose sishind wala kulala HELSB
 
Poleni poleni sana Mimi booom nimeshasaini nasubiri mpunga uingie sie tunapigana loan bord nyie mnapigana library natunawazidi aiseeeeeeeeee nipo mwenzenu nalisubiri
 
Back
Top Bottom