Ngoja tumu-google tuone alichomoka na ngapi advance level
ndo huyo bhana
hili boom inaonekana lina raha yake maana laki sita tangu nizaliwe cjwah kushika....nikizipata tu lazima ntafute demu mkali hapo chuo udsm,pia nguo kali ckutaki tena huku kijijini:flypig::flypig:
Nothing about priority and non priority wote boom sawa siunajua boom ni tofauti na laons.boom kila mwanafunzi anaeenda chuo anapata lakini ishu ni mkopo utapata?