Boom hiloooooo

msihofu wakuu boom liko karibu so presha za nini? Mbona presha za kuchaguliwa chuo sasa zimeisha lakini kuna watu wengine mpaka sasa hawajui wataenda chuo gani jamii foram is here to help people like these
 
Ngoja tumu-google tuone alichomoka na ngapi advance level

ndo huyo bhana
525666_100249353448175_436688672_a.jpg
 
Kijana acha swaga zako nimechomoka na vijiti vitatu so usiangaike kuni google utapoteza muda bure cha muhimu chukua concept au umesoma arts wazee wa kukremisha?:a s 465:
 
hili boom inaonekana lina raha yake maana laki sita tangu nizaliwe cjwah kushika....nikizipata tu lazima ntafute demu mkali hapo chuo udsm,pia nguo kali ckutaki tena huku kijijini:flypig::flypig:
 
Kaka umeandika hii thread kufurahisha watu ama? Na utadata kweli na biti kama jina lako linavyo sema,TUTAKUONA.
 
Join Date : 27th August 2012
Posts : 14

Rep Power : 304

Likes Received
0
Likes Given
0

Sina cha kuongeza hapo,hii inatosha.Mkuu umeingia JF na wenge.
 
Tuliza akili.....pesa hiyo ni ya kukusaidia kujikimu kama mwanafunzi ili uweze kuyafikia malengo yako ya kutafuta elimu...ukijifanya kutanua kama Kassim lete kama tulivyo utaadhirika na chuo utakiona kichungu.
 
Kanunue na Sub woofer,na tv,na simu touch screen,afu naskia cafeteria ya mabibo hostel hawauzi bia siku hizi,ungeenda pale ukanywa pombe afu ulale pale kisimani 'block G' baada ya siku mbili akili itakukaa sawa
 
hili boom inaonekana lina raha yake maana laki sita tangu nizaliwe cjwah kushika....nikizipata tu lazima ntafute demu mkali hapo chuo udsm,pia nguo kali ckutaki tena huku kijijini:flypig::flypig:

Nyie ndo mnaokujaga kuongeza idadi ya DISCO chuo. Weak ass mind!
 
Hahaha, umenikumbusha vijana flani walikuwaga wanasema huwezi kusoma wakati boom liko bank. Bora ulishughulikie umalizane nalo jumla.
Kila la kheri mwaya, tumia hela ikuzoee. Ila demu awe mkali haswaa manake kwa laki 6 hata wiki 2 haziishi.
 
Nothing about priority and non priority wote boom sawa siunajua boom ni tofauti na laons.boom kila mwanafunzi anaeenda chuo anapata lakini ishu ni mkopo utapata?

unaposema loan means boom ni sehemu yake,usitake kupotosha ukweli bora ungesema wapatao loan wote upande wa boom wanapokea sawa,mbona ningekupata mapeeema.
 
Back
Top Bottom