Book covers & Movie..

Book covers & Movie..

...
12700719929.jpg
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]hiki kitabu ninacho ila nikijaribu kusoma, moyo unasita. Nilipoteza pesa yangu bure kabisa. Sijui nitakipitia lini, nakiogopa vibaya mno[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Hahaha,mbona hakina taabu.

Mwanzo ni mgumu wa kitu kipya katika mtazamo,mawazo na tafakuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba uniwekee hiki kitabu nikipakue tafadharii
Ibn warraq-Pen name...akiogopa/akihofia kufanyiwa ushenzi.

Wy Iam not Muslim by Ibn warraq kina kama pages 391 karibia 400 hivi.

Jina la kitabu kidogo kaazima kwa bwana .Russell-Why Iam not Christian.

Kaelezea Mambo mengi sana Qur'an kaichambua kwa sana na mambo kibao.

Ukimaliza kusoma hiki,kitafute na kitabu cha Ali "Understanding Mohammad" utapata yaliyo mengi zaiidi.View attachment Ibn Warraq - Why I Am Not a Muslim.pdf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom