which is which
Member
- Feb 24, 2012
- 9
- 7
jamaa mmoja alichelewa kuamka kwenda kazini,,
ivyo alipokuwa njiani akiendesha gari kuelekea kazini,, ilibidi aandike msg kumtaarifu boss wake kuwa atachelewa kufika ofisini,, sasa alipomaliza kuandika msg,, akaandika na namba ikabaki kusend,, kabla hajasend dirisha likiwa wazi akatokea kibaka na kupora ile simu,, sasa yule jamaa mwenye simu kuona vile ikabidi apige kelele kumwambia yule kibaka bonyeza cha katikati usend iyo msg.
ivyo alipokuwa njiani akiendesha gari kuelekea kazini,, ilibidi aandike msg kumtaarifu boss wake kuwa atachelewa kufika ofisini,, sasa alipomaliza kuandika msg,, akaandika na namba ikabaki kusend,, kabla hajasend dirisha likiwa wazi akatokea kibaka na kupora ile simu,, sasa yule jamaa mwenye simu kuona vile ikabidi apige kelele kumwambia yule kibaka bonyeza cha katikati usend iyo msg.