First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
Imesikika sauti ya Boniface Wambura afisa habari TFF, kwamba anawaomba radhi kwa kitendo cha umeme kukatika wakati wa utoaji wa zawadi, nina wasiwasi na huu msamaha. Lakini pia Sendeu Luis amewapa pole baadhi ya wachezaji wa Simba waliozimia baada ya kichapo juzi jumapili tar 4. July. Sasa wasiwasi wangu ni kwamba kama walisema watafanya uchunguzi ikiwa ni pamoja na Nchimbi kuunda kamati, afu leo wanasema samahani, hii inamaanisha nini? Kwamba tupotezee!