PostGE2025 Boniface Mwabukusi ahoji kuhusu kijana aliyehongwa bilioni tano na Mabeberu

PostGE2025 Boniface Mwabukusi ahoji kuhusu kijana aliyehongwa bilioni tano na Mabeberu

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
11,798
Reaction score
18,037
NINAFIKIRI KIJINGA!?

1.Kwamba kuna kijana kapewa Bilion Sita? Yuko huko Afrika Kusini? Kwa hiyo alipopewa akawaambia Mwambegele na wenzake tumieni Kanuni Kuiondoa CHADEMA kwenye Uchaguzi Kinyume cha Katiba na Sheria?

2.Baada ya Hapo kijana huyu asiye mzalendo kwa manufaa ya mabeberu akaiagiza Tume ya Uchaguzi kumuengua Luhaga Mpina wa ACT asigombee Urais licha ya kuruhusiwa na Mahakama?

3.Ghafla kwa kutumia pesa hizo akashawishi wapiga kura zaidi ya Asilimia 80 wajitokeza Kupiga Kura? Na kwa miujiza akaiwezesha tume kujumlisha kura 31,000,000 kwa kasi ya kimondo.

4.Akamuamuru IGP na IGP akatii agaizo la Kijana asiye mzalendo ? atangaze Curfew ndani ya dk 40 kabla ya kuanza utekelezaji?Bila kujali watoto wa mitaani na watu wasio na Makazi watahifadhiwa wapi na kwa namna gani? Wala wananchi watarudije makwao?

5.Kijana huyu asiye mzalendo akaamuru Polisi watumie silaha za Moto na kupiga waandamanaji risasi za vichwa,Tumbo,Viuno na Kifua? na kuwezesh maiti kujificha zenyewe ili zisizikwe?

6.Akaamuru Maiti zifichwe ili wafiwa washindwe na mwishoni kuzika viatu na nguo za marehemu wasione miili ya ndugu zao?

7.Akaamuru iundwe tume ya Uchunguzi isiyo Huru na kuagiza iitwe Tume Huru?

8.Mpaka leo serikali imeshindwa kukamata Askari walio uwa watu wakaishia kukamata ndugu wa walio uwawa na vijana wasio na hatia maake siku hizi ukikohoa au kukosoa sacarstically watukufu ni uhaini na hii ni kwa muji u wa kijana huyu asiye mzalendo?

9.Akaamuru Mtandao ufungwe kwa siku kadhaa ?!ili aweze kututandika risasi kimyakimya kutimilisha ubazazi wake? Sasa hii si ndiyo sababu nzuri ya kuunda Tume ya Uchunguzi iliyo huru na Jumuishi ya Kimataifa.. ili tuwachemshe supu hawa mabeberu?

10 Na kwa nguvu hiyo hiyo hataki Tume Huru ya Kimataifa au iliyo Jumuishi ya kutafuta ukweli wa jambo hili?

TAIFA LINAHITAJI HAKI,UKWELI NA UWAJIBIKJA

Unahitaji kuwa professional wa upumbavu kuikubali nadharia hii tepetevu.

BAK MWABUKUSI.
 
Screenshot_20251122-090658~2.png
 
Yaani Mwugulu alikuwa ni waziri wa fedha, lakini anafanya propaganda ya bei rahisi mno. Yaani mtu apewe 5b kwenye aacount yake bila maelezo ni ya kufanyia nini? Na kwa bahati mbaya anapita mitaani akiwalisha watu wenye akili timamu hii cheap propaganda.

Juzi kaulizwa maswali na waandishi wa habari, kaishia kueleta porojo zisizo na kichwa wala miguu. Press nzima kitu kipya watu wamepata kwenye hiyo press yake ni neno GUYS!
 
NINAFIKIRI KIJINGA!?

1.Kwamba kuna kijana kapewa Bilion Sita? Yuko huko Afrika Kusini? Kwa hiyo alipopewa akawaambia Mwambegele na wenzake tumieni Kanuni Kuiondoa CHADEMA kwenye Uchaguzi Kinyume cha Katiba na Sheria?

2.Baada ya Hapo kijana huyu asiye mzalendo kwa manufaa ya mabeberu akaiagiza Tume ya Uchaguzi kumuengua Luhaga Mpina wa ACT asigombee Urais licha ya kuruhusiwa na Mahakama?

3.Ghafla kwa kutumia pesa hizo akashawishi wapiga kura zaidi ya Asilimia 80 wajitokeza Kupiga Kura? Na kwa miujiza akaiwezesha tume kujumlisha kura 31,000,000 kwa kasi ya kimondo.

4.Akamuamuru IGP na IGP akatii agaizo la Kijana asiye mzalendo ? atangaze Curfew ndani ya dk 40 kabla ya kuanza utekelezaji?Bila kujali watoto wa mitaani na watu wasio na Makazi watahifadhiwa wapi na kwa namna gani? Wala wananchi watarudije makwao?

5.Kijana huyu asiye mzalendo akaamuru Polisi watumie silaha za Moto na kupiga waandamanaji risasi za vichwa,Tumbo,Viuno na Kifua? na kuwezesh maiti kujificha zenyewe ili zisizikwe?

6.Akaamuru Maiti zifichwe ili wafiwa washindwe na mwishoni kuzika viatu na nguo za marehemu wasione miili ya ndugu zao?

7.Akaamuru iundwe tume ya Uchunguzi isiyo Huru na kuagiza iitwe Tume Huru?

8.Mpaka leo serikali imeshindwa kukamata Askari walio uwa watu wakaishia kukamata ndugu wa walio uwawa na vijana wasio na hatia maake siku hizi ukikohoa au kukosoa sacarstically watukufu ni uhaini na hii ni kwa muji u wa kijana huyu asiye mzalendo?

9.Akaamuru Mtandao ufungwe kwa siku kadhaa ?!ili aweze kututandika risasi kimyakimya kutimilisha ubazazi wake? Sasa hii si ndiyo sababu nzuri ya kuunda Tume ya Uchunguzi iliyo huru na Jumuishi ya Kimataifa.. ili tuwachemshe supu hawa mabeberu?

10 Na kwa nguvu hiyo hiyo hataki Tume Huru ya Kimataifa au iliyo Jumuishi ya kutafuta ukweli wa jambo hili?

TAIFA LINAHITAJI HAKI,UKWELI NA UWAJIBIKJA

Unahitaji kuwa professional wa upumbavu kuikubali nadharia hii tepetevu.

BAK MWABUKUSI.
TAIFA LINAHITAJI HAKI,UKWELI NA UWAJIBIKJA.....100%
 
Uongo huwa hauishi siku zote na kadru unavyosplit uongo ndio unazid kukuzalilisha
 
Back
Top Bottom