Bongozozo atoa funzo la Kiswahili, kitu gani kamzidi Maulid Kitenge?

TODAYS

JF-Expert Member
Apr 30, 2014
13,762
21,227
Huyu ndiye Bongozozo, anajiita Mtanzania shabiki namba moja wa Taifa Stars na mbuga ya Serengeti, vunja mbavu.
 
We itakuwa umetumwa na Stella Abijan. Bolizozo sio mtu mzuri waulize HONGA HONGA FC.
Alituchapa Taifa kama tumesimama. By the way kuna mchezaji wa Yanga akaja kutumia aka ya huyu, aliitwa JAMES TUNGARAZA, Mungu amlaze mahali pema peponi, ameen.
 
Mkuu tunamzunguzia bongozozo yule mzungu flani...
Alituchapa Taifa kama tumesimama. By the way kuna mchezaji wa Yanga akaja kutumia aka ya huyu, aliitwa JAMES TUNGARAZA, Mungu amlaze mahali pema peponi, ameen.
 
Alituchapa Taifa kama tumesimama. By the way kuna mchezaji wa Yanga akaja kutumia aka ya huyu, aliitwa JAMES TUNGARAZA, Mungu amlaze mahali pema peponi, ameen.
Anayezungumziwa ni Bolizozo yule kiboko ya mikia au Bongozozo 'fujo isiyoumiza' shabiki mkubwa Taifa stars?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzungu wake na kua official balozi wa Tanzania


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom