Bongo ukiwa na PhD lazima uchukiwe

Tatizo ni wao wenyewe huwa na show off za kubore outomati watu hujiweka mbali nao
 
Inategemea na PhD ni ya nani.
Kuna ya Mwakyembe ambayo haimsaidii.
Kuna ya gwajiboy ya kiuno feni.
Kuna ya baraza la uchaguzi ambayo hata akiongea kukitetea chama unajua Ina walakini.
Kuna ya Lipumba ni Kali na safi Ila haitumii imeovatekiwa na njaa.
Kuna ya Amour ya miezi tisa Kama mimba.
Zipo mpaka zinazopatikana gesti haus.
Wewe yako ikoje?
 
Waliochafua PhD ni Mwakyembe, Kabudi na lijamaa fulani hivi lilikuwaga likuu la mkoa wa Morogoro.
 

wazee wa upembuzi yakinifu.

injinia anafanya upembuzi miezi sita ya utanuzi wa barabara,kwanini mwanaisasa asikuingilie akuoshee mbele za wananchi!!!!

angalia bweni la shule limewaka limeondoka na vijana wetu huko arusha,kumbe walikuwa wanalala wanne kila double deker!!!!,wataalam wamelala usingizi wa pono.
 
Mkuu, habari yako kaka.

Bila shaka upo mzima wa afya.

Kaka mkubwa, ninaomba kutofautiana na wewe kidogo katika hii hoja yajo ya kutangamana na watu katika jamii.

Mkuu, mimi sina Phd lakini watu wanasemaga sijui kutangamana na watu katika jamii ninamoishi lakini mimi huwa siwajali maneno yangu bali ninakuwa nipo busy na shughuli zangu.

Mkuu, watu wameumbwa tofauti sana. Kila mmoja na namna alivyo. Kuna watu wameumbwa ni waongeaji ila wengine ni wakimya sana.

Sasa tatizo linakuja unapokuwa mkimya alafu una Phd. Watu watakusema mpaka basi.
 
PhD sio intelligence don't confuse Education and intelligence
 
Ungefafanua zaidi ukatoa na mifano nafikiri ingekaa vizuri na madam yako ingetoa fundisho na hamasa hatimaye wengi wangezitatuta hizo PhD ahsante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…