Wenye mamlaka wanakauli zaidi ya wenye utaalamu, kwetu sisi JPM ndiyo jaji, mganga mkuu, mtunga sharia, injinia mkuu , n.k kila kitu hata chenye kuitaji wataalam wenye mamlaka wanaingilia.. Hivyo hata uwe na PhD ukichangamana na siasa lazima jamii yetu ikuone kituko