Bongo sanaa ni music na filamu tu?

Bongo sanaa ni music na filamu tu?

njundelekajo

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
310
Reaction score
228
ukimwambia mtu mimi ni msanii atakuuliza unafanya music gani? akikuoonea huruma sana atakuuliza unafanya muv? ...stil mpo analojia wengine ni wasanii wa kuchonga vinyago , kucheza ngoma nk,....alafu hivi daresaalam ni mkoa wa wasanii na watu maarufu nini?mbona ukifanya sanaa hata kama pesa ya studio uliochangiwa na wana kijiji lazima mkaishi manzese
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom