Bongo Radio Inatafuta Watangazaji na DJs

Mkuu mpe Mwanakijiji part time kipindi cha mambo ya siasa......just a quick thought

Mwanakijiji yeye Bongo Radio ndio kwake kabisa mara nyingi huwa anatangaza kukiwa na matukio mbalimbali au habari za kisiasa.
 
Ndugu Geeque
Deadline ni lini?
Je ukiwa location yoyote ni sawa?

Unaweza kuwa popote duniani cha muhimu ni upatikanaji wa High Speed Internet Connection. Kuna watu wanaendesha vipindi kutokea states mbalimbali hapa US na pia nje ya United States.
 
Unaweza kuwa popote duniani cha muhimu ni upatikanaji wa High Speed Internet Connection. Kuna watu wanaendesha vipindi kutokea states mbalimbali hapa US na pia nje ya United States.
Mazee niko tayari...Monday nights, nieleze nikutafute vipi tuanza kazi...
 
Mazee niko tayari...Monday nights, nieleze nikutafute vipi tuanza kazi...

Hakuna noma kabisa mazee, nimebanwa kidogo na majukumu siku hizi mbili tatu lakini kuanzia early next tutaanza mambo yote, hata sijawasiliana na wengine ambao nao wanataka kuwa na shows.
 
Kipindi cha Mapenzi na mahusiano jaribu kuwaangalia hawa;-
Belinda Jacobo
WOS
Nyamayao
Mwanajamii
 
Kipindi cha Mapenzi na mahusiano jaribu kuwaangalia hawa;-
Belinda Jacobo
WOS
Nyamayao
Mwanajamii

Oooohhh Yeaaah, Pouwaaa, lakini hivi sasa kuna Dinah ambaye anafanya mambo makubwa kwenye sekta ya Mapenzi, Mahusiano na Ngono.
 
Prime time will be the best time for me. I wanna go toe to toe with funkflex!...lol
You know, we will be dropping bombs on them.
 
Habari za leo wanajamii,

Kwa niaba ya timu nzima ya Bongo Radio ningependa kuwatangazia wale wote wenye mapenzi ya kuwa watangazaji wa vipindi mbalimbali vya radio na u-DJ kuwa tunawaalika wajiunge nasi ndani ya Bongo Radio. Nafasi hizi ni kwa wale wote ambao wangependa kujiendeleza zaidi na utangazaji na DJs wote ambao wangependa kutangaza zaidi kazi zao kupitia LIVE Shows. Nawakaribisha wote ambao mngependelea kujiunga nasi, unaweza kuniandikia hapa au kwenye PM kuhusiana na swali lolote utakalokuwa nalo.

Mahitaji Muhimu kwa Yeyote Atakayependa kuwa Mtangazaji au DJ.
1)Laptop au PC preferably yenye Windows XP ingawa Vista nayo sio mbayo sana.

2)Microphone ya kawaida tu hata za PC zinafaa

3)High Speed Internet Connection ni vizuri zaidi ikiwa ni Cable ingawa hata DSL inaweza kufaa baada ya marekebisho kidogo.

4)Uwezo wa kuongea bila ya aibu na kwa uchangamfu na ufasaha katika utamshi wa maneno ya kiswahili au kingereza. (mfano ni neno idhaa na si izaa au orodha na si oloza au neno kubali na si kubari)

Vipindi ambavyo bado vinahitaji watangazaji na Djs ni Kama Muziki Wa Pwani hasa Mduara na Mchiriku, Taarab, Sebene, Muziki Wa Dansi au Zilipendwa, Bongo Flava, Dancehall, Roots Reggae, Muziki wa Injili (Gospel), Genge, Soukous na Coupe Decale, Muziki Asililia, Comedy, Habari za Siasa na Matukio, Gossip na vingine vingi. Pia kama una pendekezo lolote la kipindi usisite kuwasiliana nami.


Ahsanteni Wote,
Bongo Radio Team.
Chicago, IL
USA.

Mkubwa Geeque,

Na sisi watu wa Masoko, Mabuziness na mabiashara tunaweza kushiriki?
Tungependa kupeperusha bidhaa za "Proudly Tanzanian"
 
Habari za leo wanajamii,

Kwa niaba ya timu nzima ya Bongo Radio ningependa kuwatangazia wale wote wenye mapenzi ya kuwa watangazaji wa vipindi mbalimbali vya radio na u-DJ kuwa tunawaalika wajiunge nasi ndani ya Bongo Radio. Nafasi hizi ni kwa wale wote ambao wangependa kujiendeleza zaidi na utangazaji na DJs wote ambao wangependa kutangaza zaidi kazi zao kupitia LIVE Shows. Nawakaribisha wote ambao mngependelea kujiunga nasi, unaweza kuniandikia hapa au kwenye PM kuhusiana na swali lolote utakalokuwa nalo.

Mahitaji Muhimu kwa Yeyote Atakayependa kuwa Mtangazaji au DJ.
1)Laptop au PC preferably yenye Windows XP ingawa Vista nayo sio mbayo sana.

2)Microphone ya kawaida tu hata za PC zinafaa

3)High Speed Internet Connection ni vizuri zaidi ikiwa ni Cable ingawa hata DSL inaweza kufaa baada ya marekebisho kidogo.

4)Uwezo wa kuongea bila ya aibu na kwa uchangamfu na ufasaha katika utamshi wa maneno ya kiswahili au kingereza. (mfano ni neno idhaa na si izaa au orodha na si oloza au neno kubali na si kubari)

Vipindi ambavyo bado vinahitaji watangazaji na Djs ni Kama Muziki Wa Pwani hasa Mduara na Mchiriku, Taarab, Sebene, Muziki Wa Dansi au Zilipendwa, Bongo Flava, Dancehall, Roots Reggae, Muziki wa Injili (Gospel), Genge, Soukous na Coupe Decale, Muziki Asililia, Comedy, Habari za Siasa na Matukio, Gossip na vingine vingi. Pia kama una pendekezo lolote la kipindi usisite kuwasiliana nami.

Ahsanteni Wote,
Bongo Radio Team.
Chicago, IL
USA.
Ah mbona umesahau classical music hapo?
 
Back
Top Bottom