Bongo ndio nchi pekee ambayo mapenzi ni ajira

Bongo ndio nchi pekee ambayo mapenzi ni ajira

Extrovert

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
72,148
Reaction score
190,636
"Kwa hali ilivyo sasa viumbe esp. jinsia pinzani waishio katika Tized hasa maeneo ya mijini wamegeuza swala la mapenzi kuwa kama ajira kwa maana wanadai stahiki zote a.k.a house allowance, transport allowance bila kusahau invoice za kujikimu a.k.a per diem yani misosi, saluni, vocha vocha hizi!

Haya mambo ameyaongea jamaa yangu kwa hasira nikacheka sana akidai kwamba hali ni tete.

Nilimcheka sana jamaa ila nimeona nije kushea nanyi mnieleze experience zenu kuhusu hili! Je, kweli hawa watoto wamefikia kiwango hicho?
 
Kuja jamaa alisema Yani ile umeanza tu mawasiliano ya simu demu wa kibongo anakuwa ameishiwa kodi ya nyumba/chumba kwa hiyo umlipie, ameibiwa simu hiyo ulomkuta nayo amefanya kuazimwa kwa hiyo umnunulie, amefiwa na bibi yake mlezi au anauguliwa kwa hiyo umpe nauli aweze kusafiri , nywele zimechoka kwa hiyo umpe hela ya saluni kama anagari atakwambia bovu umpe hela ya kwa fundi,

Kama ni single mother atakwambia mwanangu amefukuzwa Shule hajalipa ada

Sasa jamaa akauliza how coincidence is that?

Yani kila mara ni kutoa shida zake na kutaka pesa tu?!

Wanaume wanaibiwa sana!
 
Back
Top Bottom