Ni katika bongo movies:
1. Majeruhi na maiti zinabebwa kwa mikono mitupu.
2. Maiti zinatetemeka macho
3. Ukitaka kucheka zaidi angalia scene za kipelelezi na za kimahakama.
4. Aliyepigwa risasi ana damu kama sample ya kupimia malaria.
5. ...endelezeni wenyewe mi bado naangalia.
hahahahaaaaaa..........kweli zinaboa,raia hawavai ule uhalisia,kibongo bongo its better u watch comedy movies...eg mzee majuto,jotti,n others u wont get bored