Madela Wa- Madilu JF-Expert Member Joined Mar 24, 2007 Posts 3,063 Reaction score 743 Feb 2, 2014 #3 Usicheze na njaa. Njaa iko mbaya sana sana. Waweza vaa micheni mizito ya GOLD na hata kunukia Vizuri kwa UTURI lakini NJAA ikikubana hutotofautiani na KALUBANDIKE. Hivi wewe unadhani aliyesema ADUI yako mwombee njaa alikosea??????
Usicheze na njaa. Njaa iko mbaya sana sana. Waweza vaa micheni mizito ya GOLD na hata kunukia Vizuri kwa UTURI lakini NJAA ikikubana hutotofautiani na KALUBANDIKE. Hivi wewe unadhani aliyesema ADUI yako mwombee njaa alikosea??????
Hornet JF-Expert Member Joined Apr 29, 2013 Posts 26,844 Reaction score 52,251 Feb 2, 2014 #4 ccm ndo habari ya mujini.
jackson mushy Member Joined Nov 28, 2013 Posts 23 Reaction score 1 Feb 2, 2014 #5 Mtaumbuka mchana kweupe
kichomiz JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 20,251 Reaction score 13,257 Feb 2, 2014 #6 Madela Wa- Madilu said: Usicheze na njaa. Njaa iko mbaya sana sana. Waweza vaa micheni mizito ya GOLD na hata kunukia Vizuri kwa UTURI lakini NJAA ikikubana hutotofautiani na KALUBANDIKE. Hivi wewe unadhani aliyesema ADUI yako mwombee njaa alikosea?????? Click to expand... Inakuwaga mbaya sana inapokaribia kufika kwenye ubongo.
Madela Wa- Madilu said: Usicheze na njaa. Njaa iko mbaya sana sana. Waweza vaa micheni mizito ya GOLD na hata kunukia Vizuri kwa UTURI lakini NJAA ikikubana hutotofautiani na KALUBANDIKE. Hivi wewe unadhani aliyesema ADUI yako mwombee njaa alikosea?????? Click to expand... Inakuwaga mbaya sana inapokaribia kufika kwenye ubongo.
M muhubiri1 Member Joined Jul 13, 2013 Posts 45 Reaction score 4 Feb 2, 2014 #7 Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Red Scorpion JF-Expert Member Joined Feb 1, 2012 Posts 5,736 Reaction score 4,254 Feb 2, 2014 #8 warumi said: Ccm oyee Click to expand... Kwenye hiyo picha wanaonekana wazi kuwa wako na wac wac mwingi, furaha imetoweka...., nahic wanajiona kama wanawasaliti mashabiki wao..!!
warumi said: Ccm oyee Click to expand... Kwenye hiyo picha wanaonekana wazi kuwa wako na wac wac mwingi, furaha imetoweka...., nahic wanajiona kama wanawasaliti mashabiki wao..!!
NAPITA JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 5,077 Reaction score 2,248 Feb 2, 2014 #9 Hapo ni pesa ndo zimewapeleka uko ila mioyoni mwao......tena kama huyo.....nani asiyemjua kuwa ni mwanachama wa nccr
Hapo ni pesa ndo zimewapeleka uko ila mioyoni mwao......tena kama huyo.....nani asiyemjua kuwa ni mwanachama wa nccr
Kaunara JF-Expert Member Joined Feb 4, 2013 Posts 258 Reaction score 540 Feb 2, 2014 #10 Hatar sana kwa umr kama wa kina JB kutojielewa anauza utu kwa kofia, shat na pesa.
Kufa c mwiko JF-Expert Member Joined May 26, 2013 Posts 756 Reaction score 322 Feb 2, 2014 #11 sio muda mrefu wataanza kubebeshwa sembe hao kama jb mtumbo wake huo utabeba kilo 500.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,301 Reaction score 829,355 Feb 2, 2014 #12 kwishney wataisoma namba kama walifikiri watatoka hiyo ndo byebye
Ndibalema JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 10,955 Reaction score 4,662 Feb 2, 2014 #13 Na wao wana ndoto za kuiwa wabunge.