Bongo Movie mmefikia wapi na Maandamano?

Bongo Movie mmefikia wapi na Maandamano?

Wapo busy wanaandaa skendo na kiki za kutokea
 
dah ngoja nikae mkao wa kuchekaaaa.... parachuti kiboko linaenda kama gari barabarani
 
Bongo movie wauza nypu hawana jipyaa

Ova
 
Hivi soko lao hasa ni akina nani? watoto? wazee? vijana? watu wa makamo? Marehemu Kanumba aliwahi kusema wengine hasa warembo wanaigiza kwa malengo tofauti kabisa na yale ya filamu - kuuza sura.
 
Wapo location muda wowote wanakuja tena kwa kishindo kikubwa
 
Hawa bongo movie ni buree KBS maigizo wanayoyacheza tulikua tunacheza ss miaka ya 75 shule ya msingi
 
Naangalia the legend of the seeker- kuna Mzee zedcus Zulu zolanda the wizard of the wizard's anavituko balaa
 
Usijaribu ukasitisha ratiba yako eti umependezwa na bongo movie umalizie! Watakutelekeza vibaya inaishia popote pale kama Tanesco tu
 
Naangalia Movie ya Rambo Mtu mmoja anaangamiza kambi nzima ya Adui
Hiyo muvi ya mwaka gani?

Kwa kawaida muvi zinaenda kwa nyakati, kwa hiyo uliyosema itakua ni first blood 1 au ya 2 au ya 3, kipindi hicho na sisi tulishakua na muvi ambayo mtu mmoja anaangamiza kambi nzima inaitwa Shamba Kubwa, tukaja na The witness tukaja na Misukosuko. Hizo zilikua ni nyakati za kuonyesha Badassery.

Baada ya muda era ya badassery imepotea ndiyo maana Rambo 4 ameonekana akisaidiana na mercenaries.
 
Back
Top Bottom