Sioni nini wanacheza hawa vizuka. Wanarukaruka tu sio kitu mtu unaweza ukaona kua mtu anacheza ukafurahi. Kwanza wote ni shapeless wamekaa kama magunia ya nafaka.
Sioni nini wanacheza hawa vizuka. Wanarukaruka tu sio kitu mtu unaweza ukaona kua mtu anacheza ukafurahi. Kwanza wote ni shapeless wamekaa kama magunia ya nafaka.
kuna tofauti gani kati ya kukatika huku na stripers...! Hapa naona ni kwa vile tu hawa wameamua kuvaa hivo vinguo kujifunika lakini ukweli ni kwamba now we are advancing slowly to having stripers club in Dar es Salaam. You wait in the next 3 years from now.
Hii nini nimeshangaa kuiona halawafu wanajiita watoto T aka K kwa mkeo hapa T tu. Na hii shughuli inaendeshwa na wale kinamama wa Clouds kipindi sijui cha Leo tena kilee?
Ndio modernised taarab jamani tukubali tu! si unaona wanavyjaza watu ukumbini lakini? maana yake wanakubalika. wale tunaopenda kina Issa Matona tusikilizie makwetu tu.
hilo ni kwaya la kiislam hilo...taarab ndo kila nyumba za waislam lazima wanayo kanda walau moja...kwaya hiyo msizarau..zenji, pwani yote ndo utambulisho wao...halafu hao wanaonengua, hawana tofauti na booty dance wale wamarekani wanaovaa kichupi tu na kuigiza namna ya kufanya ngono....hawa tena wamezidi zaidi....shetani anaimaliza bongo..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.