Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,722
- 6,593
Hongera Madina
huyu medina mtoto wa chenge?
Hongera Madina
Sisi wataalam wa china, pale Guangzhou tunakula chakula cha kibongo long time����
Ukiingia kwa dada Kulwa pale tinxiu building ugali na vikorombwezo vyote vinapatikana muda wote na kama msosi umeisha basi unapikiwa.
Naamini kisamvu, mlenda, ndimu, mtori nk ni bidhaa zisizokosekana hapo
Ndovu ipo? nije fasta
Karibu: Andaa ticket yako mapema. wasiliana nasi: www.facebook.com/travelpointtzsafi sana...feb 2015 lazima nitie maguu hapo
View attachment 215098
Iko mtaa gani China, mie hua nakula pale Kwa yule Mama anaitwa madina, Mara akaanza mbwembwe, Mara Chakula hakuna ukipiga cm unaweka order uli ukifika ule uondoke Ukifikaa mwenyee hayupo sijui yuko Nani, nikahamia Kwa Mdada Anaitwa Devika Chakula chake kizuri sanaaaa. Mashallah...
wadau wa tanzania and east africa wote tunawakaribisha ktk hotel ya kisasa sana nchini china ukifika pande za guangzhou usikose kufika kupata chakula cha east africa na cha west..karibuni sana
www.facebook.com/travelpointtz
+255762252921.
Wasiliana nasi kupata ticket kwa bei rahisi. Dar-china.
Huduma zetu popote ulipo.
View attachment 215096View attachment 215097View attachment 215102
View attachment 215103View attachment 215104View attachment 215098
View attachment 215106View attachment 215109View attachment 215110
View attachment 215111View attachment 215135
job well done!!!