Bongo Lounge in Guangzhou, China

Bongo Lounge in Guangzhou, China

Joined
Dec 24, 2008
Posts
10
Reaction score
3
Wadau wa Tanzania and East Africa wote tunawakaribisha ktk hotel ya kisasa sana nchini china ukifika pande za GuangZhou usikose kufika kupata chakula cha East Africa na cha West..karibuni sana
www.facebook.com/travelpointtz
+255762252921.
10414903_585595294917609_945990687916002278_n.jpg data=U4aSnIyhBFNIJ3A8fCzUmaVIwyWq6RtIfB4QKiGq_w,L5JuIUTl9Wg05prHHpHt8xAJ0J_OswvcVNgIXDUEMuNb0jvr.png FB ET DAR CAN.png LOUNGE.jpg
10570476_585595128250959_8640301499558671130_n.jpg QATAR.png
 
Hongereni wakuu...tukipata watu 2 kila nchi kama nyie, tayari hatutawahitaji kina Dadamond tena!
 
safi sana! hofu ya kulishana konokono na jongoo bila shaka haitakuwepo tena!!
 
Sisi wataalam wa china, pale Guangzhou tunakula chakula cha kibongo long time😂😂
Ukiingia kwa dada Kulwa pale tinxiu building ugali na vikorombwezo vyote vinapatikana muda wote na kama msosi umeisha basi unapikiwa.
 
hivi kutoka bongo hadi hapo ndege ya bei poa kabisa ni kiasi gani? cc:

bunally Rashid
 
Last edited by a moderator:
Naamini kisamvu, mlenda, ndimu, mtori nk ni bidhaa zisizokosekana hapo
 
Back
Top Bottom