Bongo Hiyooooo, Njia Panda ya Mkoa

Bongo Hiyooooo, Njia Panda ya Mkoa

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,092
464342_348268528605251_1259002884_o.jpg
 
Hii ni Stendi ya mabasi ya kwenda ndani na nje ya dar.Ni ya pale karibu na Jengo la Tanesco Ubungo.Hako kajengo kenye paa jekundu ndio choo cha kulipia...shilingi 200 kwa haja kubwa na ndogo na kuoga. Baada ya hapo yanaanza magari ya Mbagala na Mnazi Mmoja.Yetu ya Mlandizi hayana rangi ya kuchorwa iliyoasisiswa na Mwaibula
 
Camera gani ulitumia na ulikuwa upande gani? Umepiga eneo kubwa!
 
Camera gani ulitumia na ulikuwa upande gani? Umepiga eneo kubwa!

Picha hiyo itakuwa imepigwa kwa juu hasa nadhani jengo la Tanesco na imepigwa mchana. Kuhusu camera itakuwa ni digital ya kawaida tu.
 
Kaka Mlandizi tena..kumbe wewe wanyumbani kabisaa aisee..!!
Unakaa pande zipi pale? Tena mimi nimebukua Ruvu Sekondari pale wakati ule ikiwa ni ya mchanganyiko. Mitaa ya Mlandizi naijua vyema sana:upande wa Kilangalanga na ule wa Mlandizi bondeni hadi Ruvu JKT
 
mbona sioni magari ya gongolamboto au wanageuza nayo river side!!!
 
Nashangaa bado wanaoingia ni wengi kuliko wanaotoka
 
Back
Top Bottom