Bongo Hiyooooo, Njia Panda ya Mkoa

Bongo Hiyooooo, Njia Panda ya Mkoa

Unakaa pande zipi pale? Tena mimi nimebukua Ruvu Sekondari pale wakati ule ikiwa ni ya mchanganyiko. Mitaa ya Mlandizi naijua vyema sana:upande wa Kilangalanga na ule wa Mlandizi bondeni hadi Ruvu JKT
Duuhh..kaka mi nimepiga kilangalanga pale wakati huo inaanzishwa..tulikuwa tunaishi mashine ya maji..nlikuwa na mwanangu walikuwa na mabucha yao..anaitwa Pimia..daahh!!kitambo sn aisee..!!
 
Jamani hapa si pale Ubungo mataa? Au nakosea!!!!!

Tiba
 
464342_348268528605251_1259002884_o.jpg
Hapa na pengine pengi zinahitajika 'fly overs'. Sijui wakati wa kutoa kandarasi mainjinia wa kibongo walikua wavivu wa kufikiri kama kawaida yetu?!
 
zamami pale stendi palikuwako soko na tulikuwa tunapata mahitaji. Kwenye mataa karibu na kituo cha mafuta kulikuwa na mwembe ambao kivuli chake kilitumiwa na vinyozi wa kimakonde nakumbuka wakati ukimwi unaanza kuenea mwanzoni mwa miaka ya 80 ilitulazimu tuwe tunajinunulia nyembe na kuwakabidhi hao vinyozi. wakati huo kunyoa kwa mashini za umeme ilikuwa haijaenea sana.
 
zamami pale stendi palikuwako soko na tulikuwa tunapata mahitaji. Kwenye mataa karibu na kituo cha mafuta kulikuwa na mwembe ambao kivuli chake kilitumiwa na vinyozi wa kimakonde nakumbuka wakati ukimwi unaanza kuenea mwanzoni mwa miaka ya 80 ilitulazimu tuwe tunajinunulia nyembe na kuwakabidhi hao vinyozi. wakati huo kunyoa kwa mashini za umeme ilikuwa haijaenea sana.

Shikamoo Baba Koku
 
user-offline.png
<!-- google_ad_section_start(weight=ignore) -->Jahom<!-- google_ad_section_end -->


19th December 2012 20:18
#5 Senior Member Array


<DL class=userstats>Join Date : 26th August 2008
Posts : 206
<!-- <dt>Mentioned</dt> <dd>0 Post(s)</dd><dt>Tagged</dt> <dd>0 Thread(s)</dd>
--></DL><DL class=user_rep>Rep Power : 582
</DL><DL class=vbseo_like><DT>Likes Received</DT><DD>13</DD>
<DT>Likes Given</DT><DD>4</DD>
</DL>

[h=2]
icon1.png
<!-- google_ad_section_start -->Re: Bongo Hiyooooo, Njia Panda ya Mkoa<!-- google_ad_section_end -->[/h]
<!-- google_ad_section_start -->Camera gani ulitumia na ulikuwa upande gani? Umepiga eneo kubwa!<!-- google_ad_section_end -->

Mh. camera aina ya NIKON D3100 au D5100 zinapatikana mlimani city mall-hapo foneshack.
ila upigaji picha unajifunza kila siku upate uzoefu na kujua taaluma zake..... Good luck!!​
 
Back
Top Bottom