Guevara Jr
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 300
- 811
- Thread starter
- #21
Eti manabii wana vyeti!?/Kanisa ukianza ku confess yaliyo nyuma ya pazia utachomwa moto mimi nitabaki nakuapia
Kanisa lina account ya mitandao ya kijamii mpaka benki/
Eti manabii wana vyeti!?/Kanisa ukianza ku confess yaliyo nyuma ya pazia utachomwa moto mimi nitabaki nakuapia
Siku nikifaMshkase noma sana kwenye uandishi
Alishaniandikiaga ngoma kali kibao
Nyumba ndogo
Hatia
Kanisa
Siku mbaya
Hatia 2
Hata mm namvisha crown
Tayari MkuuLipia tangazo
Ha ha haaa eti kaenda na msela wake home ila sister hakuelewa ndinga wala swaga za mselaKuna ile inaitwa sister kadata , , , , , , Yaan jamaa alipendwa na dada ake tumbo moja
SawaaahTayari Mkuu
Vizazi vinabadilika. Kwa sasa dizasta yuko vzuri ila haisababishi tum under-rate mtu kama Nikki Mbishi kwasbb ame wa inspire ma Rapper weng sana wa sasaWasalaam, mimi ni mfuasi wa Hip hop(Underground) na leo natumia haki yangu kikatiba kumtaja Msanii bora wa mziki huu kwa sasa hapa Tanzania.
Dizasta.....Kutoka kundi la Panorama,kwa sasa anafaa kuvishwa crown na kuitwa Underground King. Alikuwa member wa Tamaduni music na anauenzi utamaduni wa Hip hop to the fullest.
Msomi asiyejigamba na elimu yake. Hana shobo za kibwege ila jamaa ni bonge moja la mwandishi.
Nimemfatilia kwa muda mrefu na nimesikiliza karibu ngoma zake zote. A man is superb. Ana tungo za hatari na nadhani alifaulu vema somo la Fasihi.
Raia hawamzingatii bado ila Kijana ni halfman half-rap machine . I'm sorry Unju bin upupu, crown namvisha Dizasta.
Naandika hii thread nikiisikiliza Nobody is safe 3 iliyotoka jana, unyama mwingi humu ndani. Marapa wenu wamechanwa vibaya mno
Mnisamehe wakongwe, Dizasta ni Kilanja Mkuu wa hiki kizazi. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Asante
Nikki mbishi atabaki kua rapper bora kuwahi kutokea Tanzania...Vizazi vinabadilika. Kwa sasa dizasta yuko vzuri ila haisababishi tum under-rate mtu kama Nikki Mbishi kwasbb ame wa inspire ma Rapper weng sana wa sasa
Kuna nyngne inaitwa PATA RAHA yuko na BenPolNikki mbishi atabaki kua rapper bora kuwahi kutokea Tanzania...
Playboy
Friday
Sauti ya jogoo
Pesa kwanza
I'm sorry j.k
Maji ni uhai
Kill your self
Da ile style yake ya kurap n balaa mpangilio wa vina ni shida...
Scorpio amegeuka ghost face mwema
Alieota rais atakufa anaitwa godbless lema
Ile sio yake n ya Ben pol na runduno enzi hizoKuna nyngne inaitwa PATA RAHA yuko na BenPol
Yah niIle sio yake n ya Ben pol na runduno enzi hizo