Shida tu mkuu, wala hajala chumvi yoyote. Aana miaka 45 tu. huyuHiyo ya juu ni Zenji, mzee ameila chumvi huyo! (tofautisheni na kuzamia chumvini)
Mkuu naona unapenda vitu natural zaidi!Nimependa hao mabinti maana wapo original!
Nahisi harufu ya al shabab na al qaida!!
Hana uwezo wa kuleta mabadiliko kwa kuwa hajaandaliwa vizuri kufanya hivyo!Mzee amekata tamaa utafikiri hana uwezo wa kuleta mabadiliko.
Mtu yeyote anayelinganisha uhai wa binadamu na gesi lazima atakuwa na matatizo ya akili!Gesi kwanza maisha baadae!
Ukifanya hivyo ujue kaburi linakwita!Sasa ulogwe.......umwambie huyo mzee unataka kununua bidhaa zake zote......mbona utamfehemu........
Sasa ulogwe.......umwambie huyo mzee unataka kununua bidhaa zake zote......mbona utamfehemu........
Hivi maisha ni nini?............Maisha yako vipi na yanapatikana wapi?.
Tusije tukawa tunadanganywa na akili na hisia zetu kumbe maisha ni vyovyote vile, yako sawa na yanapatikana popote pale.
Nimependa hao mabinti maana wapo original!
Nimependa hao mabinti maana wapo original!
Nahisi harufu ya al shabab na al qaida!!