Nimbejaribu kutengeneza Bongofleva beat kwa software ya Fruity loops....
Unaweza ukaisikiliza hapo chini na kunipa comment zako...
Poa poa nkuu nimeiskiza! Pumzi unayo na mistari imetulia!
Mixing/Mastering ninaweza kufanya. Kuhusu vocals, sijawahi kumfanyia mtu so siwez sema nipo vizuri au vibaya bt i hv an idea.
Pole pole mkuu, utafika. By the way napenda sana nijifunze kutumia hiyo FL studio, una manula ayake ama tutorial zake? Ninayo hiyo software.
usijari ndugu nkitoka colege time za mchana ntakuwekea!
Mkuu, nimejaribu kulifanyia beat lako editing na partial mixing..
Sasa hii ni safi, ila bado kuipenda base line. Kudos mkuu!
Mkuu magnifico, mimi sidhani kama hiyo beat imekaa kibongofleva ila imekaa kilatino zaidi na isitoshe umei-modify kutoka kwenye wimbo wa el gobernao uliopigwa na ego latino!Nimbejaribu kutengeneza Bongofleva beat kwa software ya Fruity loops....
Unaweza ukaisikiliza hapo chini na kunipa comment zako...
Mkuu magnifico, mimi sidhani kama hiyo beat imekaa kibongofleva ila imekaa kilatino zaidi na isitoshe umei-modify kutoka kwenye wimbo wa el gobernao uliopigwa na ego latino!
Mkuu magnifico, mimi sidhani kama hiyo beat imekaa kibongofleva ila imekaa kilatino zaidi na isitoshe umei-modify kutoka kwenye wimbo wa el gobernao uliopigwa na ego latino!
Ingekua si vibaya kama ungeattach na huo wimbo niusikie!