Hilo sio tatizo kwa sababu hiyo still ni Demo version (haijafanyiwa Mixing)..
Mixing ni kitendo cha kulinganisha sauti na kudecide upande upi wa sikio instrument husika isikike (Volume adjustment & Panning). Pia ni session ya kufanya equalization, stereo separation, delay compensation, automation na kuweka effects (Terms zimekaa ki'technical zaidi lakini kwa aliye na idea anaelewa)
So katika stage aliyopo ni kuhakikisha tu 'Scaling' yake imekaa vizuri, steps zitakazofuata (Mixing & Mastering) hatakama hatokuwa na ujuzi nazo wapo specialized sound/music engineers wanaweza kumalizia kazi yake.