Kwani hii mada inahusu nini na hilo unalo zungumzia? Yaan nijiogope kwa kipi hasa tena hapa nyuma ya [emoji3491]?Wewe unajulikana ni team moja na kina Pete Butigieg.
Feel free. Naona unajiogopa ogopa.
Woooooooooooow ma babeeeeh, kumbe unashka hadi mistari."Gusanisha Hasi na Chanya, Gusanisha Paka na Panya, Gusanisha mama weeeeeee, Viuno vimefungwa Mota hivyo, si kuchafuana boxer huko...."
Mwanangu G Nako na bibie Maua Sama walitisha sana kwenye hii ngoma,
Sema nini kaka mkubwa, me nakuelewa sana, mziki wa bongo sasa hivi daah hauna ladha ile wakongwe tuliizoea, pia utunzi wa mashairi wameishiwa ndio maana kutwa kuigana tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sukari GURU.
Lol, hilo song nalikubali sanaa baby, yaan wanaimba kama hawataki vile lakini full vibe,Woooooooooooow ma babeeeeh, kumbe unashka hadi mistari.
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Kuna vitu vikifika level fulani ni ngumu kuvizuia bali kuvitengenezea mazingira na utaratibu mzuri.
Kuna kipindi niliwahi andika uzi humu wa kufanya censorship ya nyimbo kwa utaratibu huu.
1. Mamlaka zinazohusika na kusimamia sanaa ziandae mgawanyo wa kimaudhui. Mfano nyimbo zote zinazotaja mambo ya ngono, vilevi, madawa ya kulevya, matumizi ya silaha ziwekwe kwenye kundi tuliite labda E'rated. Halafu nyingine zenye maudhui ya kawaida ziwe rated kama tuseme labda A'rated. Na mwongozo huu unatakiwa ufuatwe na kila msanii.
2. Msanii anapotaka kutoa wimbo lazima aufanyie tathmini ili ajue unadondokea wapi kati ya E'rated au A'rated na atatakiwa au'lebel kulingana na kundi unapodondokea.
3. Nyimbo zote ambazo ni E'rated hazitatakiwa kuchezwa redioni, kwenye tv, kwenye saluni au eneo lolote la umma. Na yeyote ambaye atabainika itabidi aadhibiwe kulingana na sheria ambayo itakuwa imetungwa (inatakiwa iwe kali sana). Nyimbo ambazo ni E'rated zitapatikana mitandaoni tu sehemu ambapo mtu anainngia kwa ridhaa yake.
4. Kama msanii ana wimbo ambao ni E'rated na anataka uchezwe redioni au kwenye tv, basi anapaswa kutengeneza clean version ambayo itakuwa rated kama A'rated.
Huu ni utaratibu mzuri unaohitajika kwa sasa ila unahitaji usimamizi wa karibu sana ili ufanye kazi. Bora huku kuliko kupiga kelele nyimbo zifungiwe kitu ambacho hakiwezekani.
Kwa upande wa filamu wanafanya hii kitu, tofauti ni kuwa kwa wao ni lazima upeleke filamu yako wanaikagua then wanaipa daraja.
Upumbavu mtupuπππ mziki ulikuwa enzi zetu zile wakati bado mnatengewa miguu mjisaidieHizi ni zama na wakati wa miziki aina ya matusi, nyie wazee muda wenu umepita, mtupishe bhanaaah lol.
Basi mkae kwa kutulia sasa, kelele za nn? Si muwage buzzy na hiyo miziki yenu, aaah msituchoshe Bhanaa lolUpumbavu mtupu[emoji23][emoji23][emoji23] mziki ulikuwa enzi zetu zile wakati bado mnatengewa miguu mjisaidie
picha linaanza homeboy wako anakatiza sebleni na kibegi kutoka kwenye school bus anajiimbia "peleka moto,,, mpelekee moto"Hawa jamaa wanazingua..mitaani bodaboda na vibanda vya kubani miziki vinapiga hizo nyimbo hovyo na watoto wanazikariri na kuziimba
π€£π€£π€£π€£π€£picha linaanza homeboy wako anakatiza sebleni na kibegi kutoka kwenye school bus anajiimbia "peleka moto,,, mpelekee moto"
Wewe ndo unayemla matacle huyu uliyemquote?Lol, hilo song nalikubali sanaa baby, yaan wanaimba kama hawataki vile lakini full vibe,
Na kiuno chako kilivyokua hakina mfupa sasa, hapo ni kugusa halafu nanata,
[emoji7][emoji7][emoji7]
(Tutakuja kufukuzwa kwenye uzi wa watu, wenyewe wanapinga matusi, [emoji2960][emoji1][emoji23])
Punguza kihere here dada, sio kila kitu cha ku quote.Wewe ndo unayemla matacle huyu uliyemquote?
Ohooo..kumbe ni culture me(Lgbtq activist)..aisee samahani.Punguza kihere here dada, sio kila kitu cha ku quote.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kuna wimbo mpya Unaitwa NIMETOA KITU maanake kaachia ushuzi kujamba nmecheka sana.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Inasikitisha Sana .. na Kuna watu Wana tetetea kabisa ..hawajali Wala hawashtuki kuona kizazi kinavyo haribika kwa kuwa na maadili mabovuMarekani ni toka zamani..kwahiyo kisa marekani wanafanya hivyo na hapo Bongo waachwe tu,ambapo miziki inapigwa pigwa hovyo kwenye bodaboda na watoto wanasikia mitaani?.
Yaani imefikia hatua hauwezi kusikiliza mziki na watu unao waheshimu hata kwa bahati mbayaHawa jamaa wanazingua..mitaani bodaboda na vibanda vya kubani miziki vinapiga hizo nyimbo hovyo na watoto wanazikariri na kuziimba